ndio natafuta wa kumzimikia. Hebu nipointie mmoja.
Kichwa panzi...Vipi mbona umekuwa mkali? au hapo chini ukifunuwa una HASHUA?
Labda PM ..harooo ni ngumu lakini..hehehehe maana kuna watu PM wanahamishia hadharani
kazi kweli kweli
Kuna kidada nakijua humu JF aisee kinamegwa balaa haha hahha member wengine wapo kibiashara zaidi!!!! ngoja siku nitakaumbua lolz
jamani mbona mnachakachua thread ya ujira wa muha wangu?semeni kuhusu wasichana kutokuanzisha thread kuhusu vipasel/vidumu mnavyovizimia.mia
ukitaka kujua wewe ni mbu mimi chandarua chenye dawa soma tena post yangu.miadah, ...asante kwa kunikumbusha hili kabila.Siku nyingi nilikuwa najiumiza kichwa kujaribu likumbukia!
Hiyo ipo toka enzi za mababu zetu! Ni mara chache sana utakuta mdada anamwambia mkaka kuwa anampenda! Atamwonyesha tu signals!
Kwa JF utaona mdada anacomment kwenye kila thread au post yako
watu washazimikiwa wewe, upo wapi! Mi mwenyewe nauandaa moyo wangu uzimikie.Husninyo bwana...Mdada gani atazimikia Mi Avatar yetu...angalia Avatar za wanaume mwenyewe utakimbia hata hamu ya kuzimikia itapotea...By the way mie simo..maana mie nilimdondokea mmoja na sio kumzimikia.
mtabiri wangu kaniambia kesi zote zitatuliwa j3. Mimi lov u 2.Khaaa! tuisolve leo bana J3 sku ya wachawi. halaf Kuna kazembe kashaleta fitina nini?, vyovyote iwavyo ujue mimi nakupenda kuliko mjamzito anavyopenda kutema mate. I love u kwa kiingereza
Mi zimikia wewe!Husninyo bana haya me ntamwanzishia uzi invisible.
ndugu yangu unaongea kweli?lakini wewe si una wa kwako?niachie huyu,ni wangu.hujambo lakini?miaMi zimikia wewe!
Sasa kuzimika kwenyewe si ndio hivi ??? sheria za JF zingeruhusu mimi na FN tungeweka pm ulizotutumia kwa nyakati tofauti kwamba huli hulali unakonda kwa mapenzi mazito lol!........Mimi lov u 2.
Haahahahaaa kwa kweliWadada mnapenda kimya kimya na kumalizana na vidume huko PM
MhhhhhhhhhhWadada jf wakikupenda kweli watajikausha kimya...
Ukiona wanajitangaza kuku zimikia ujue wana ku enjoy.....lol