Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
mapenzi siyo kitu cha kufanya hadharani, ulishwahi wanyama tu ndiyo wanaweza kufanya hivyo. Humu ndani kuna watalaam wa kugonga hodi kwenye Private za watu? Ningekuwa kiwembe ningeshalala na watu 50, kutokana na message zao tu wanazonitumia. Sasa kwa wengine vipi? Si vema mtu kulleta habari za fulani kanitongoza ila hatushangai mtu akikuPM kukwambia anataka game.
P
P