Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana
Wameona kudanga ndio deal Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Wameona kudanga ndio deal Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope