GODLIVER CHARLE
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 20
Mara hii nakuja na swali kwa dada zangu mnisaidie:- hivi huwa mnajisikiaje pale ambapo mpenzi/mumeo wako anapokuwa anakusifia sana kila wakati au kila siku na hata mara mbili au zaidi kwa siku?
KAMA HIVI:
MFANO #1 . Ona mpenzi wangu ulivyo mzuri, kwa kweli nakupenda sana and my promise to you is: nitakupenda kwa moyo wangu wote kwa kadri Mungu anavyoniwezesha kila siku, nitakuwa mwaminifu na mkweli kwako siku zote za maisha yetu.
#2 . Mpenzi nakupenda sana, namshukuru Mungu aliyetukutanisha pamoja, nayo furaha yangu itatimilika siku Mungu akitufanikisha tukaoana kwa ndoa takatifu, yaani baby you make me feel peculier in this world, I always see you in my heart every time.
#3 . Baby I love you so much, umenifanya niwe huru sana, na macho yangu hayawezi kumtizama mwanamke yeyote kwa kumtaka kimapenzi sababu ya wewe, umejaa moyoni mwangu baby, kila wakati na kila saa nakuwaza tu, can't imagine siku tunaoana maana sasa ni miaka... imepita na moyo wangu haukusita wala kuwa na hofu juu yako bali kila siku imekuwa ni valentine day reguardless of the distance btn us.
Mf. #4 . Ona mpenzi wangu jana nilikupenda sana kuliko juzi, na leo nakupenda sana kuliko jana na kesho nitakupenda sana zaidi ya jana na juzi..... n.k. n.k
KUMBUKENI: Kila ukiwa naye mpenzio hakosi cha kukusifia, na inapotokea tu mko mbali kidodo ndo msg kibao anakutumia kila wakati kukusifia tu. na sio kwamba ndo anakutongoza la!! mlisha kubaliana kwamba mtaoana na hata urafiki wenu yamkini ushamaliza miezi sita au zaidi au wengine wanakuwa ni wana ndoa tayari.
wadada naombeni mtazamo wenu kwa hili. nimewatolea na mifano kabisa ili mnielewe. kazi kwenu... karibuni kwa michango ya maoni.....
KAMA HIVI:
MFANO #1 . Ona mpenzi wangu ulivyo mzuri, kwa kweli nakupenda sana and my promise to you is: nitakupenda kwa moyo wangu wote kwa kadri Mungu anavyoniwezesha kila siku, nitakuwa mwaminifu na mkweli kwako siku zote za maisha yetu.
#2 . Mpenzi nakupenda sana, namshukuru Mungu aliyetukutanisha pamoja, nayo furaha yangu itatimilika siku Mungu akitufanikisha tukaoana kwa ndoa takatifu, yaani baby you make me feel peculier in this world, I always see you in my heart every time.
#3 . Baby I love you so much, umenifanya niwe huru sana, na macho yangu hayawezi kumtizama mwanamke yeyote kwa kumtaka kimapenzi sababu ya wewe, umejaa moyoni mwangu baby, kila wakati na kila saa nakuwaza tu, can't imagine siku tunaoana maana sasa ni miaka... imepita na moyo wangu haukusita wala kuwa na hofu juu yako bali kila siku imekuwa ni valentine day reguardless of the distance btn us.
Mf. #4 . Ona mpenzi wangu jana nilikupenda sana kuliko juzi, na leo nakupenda sana kuliko jana na kesho nitakupenda sana zaidi ya jana na juzi..... n.k. n.k
KUMBUKENI: Kila ukiwa naye mpenzio hakosi cha kukusifia, na inapotokea tu mko mbali kidodo ndo msg kibao anakutumia kila wakati kukusifia tu. na sio kwamba ndo anakutongoza la!! mlisha kubaliana kwamba mtaoana na hata urafiki wenu yamkini ushamaliza miezi sita au zaidi au wengine wanakuwa ni wana ndoa tayari.
wadada naombeni mtazamo wenu kwa hili. nimewatolea na mifano kabisa ili mnielewe. kazi kwenu... karibuni kwa michango ya maoni.....