Uzalendo wa kweli ni kusema ukweli regardless: Imekuwa kawaida sasa watu kupindisha mambo ili ku-favor upande wao (vyama vyao)... Tunaomba uzalendo wasiasa please, msitupeleke kusikotakiwa kwa ku-take advantage of our ignorance.
Ndio tunajaribu kuwaasa especially kwa yale ambayo yamepita... yes.. wanaweza kuahidi uongo... iwe wananchi wenyewe waangalie... lakini yaliyopita ambayo huwa ni facts... they need to stand to the truth... waache kutudharau sisi wa Bububu kwa kuwa hatujasoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.