zanzibar iachwe iungane na OIC iili kelele zipungue maana.
Maana mkombozi wao wanaona ni OIC!
Mimi ukiniuliza kuhusu muungano, nitasema zanzibar iachwe iwe nchi kamili. Na Tanganyika izaliwe tena na tusiwe na serikali ya tatu!
Wapemba/zanzibar wote walioko Tanga na Dar nk warudishwe tanzania visiwani.
Maana mkombozi wao wanaona ni OIC!
Mimi ukiniuliza kuhusu muungano, nitasema zanzibar iachwe iwe nchi kamili. Na Tanganyika izaliwe tena na tusiwe na serikali ya tatu!
Wapemba/zanzibar wote walioko Tanga na Dar nk warudishwe tanzania visiwani.