23 November 2020
Maputo, Mozambique
Wapiganaji 516 wa Islamic State waliokamatwa Tanzania kurejeshwa Mozambique
Ni baada ya ziara ya mkuu wa jeshi la Polisi Mozambique kamanda Bernadino Rafael nchini Tanzania wiki iliyopita.
Jumla ya Washukiwa 516 wa kutoka mataifa mbalimbali Afrika wanaoshukiwa kujihusisha na ugaidi ktk jimbo lililopo kaskazini mwa Mozambique kurejeshwa nchini Mozambique toka Tanzania haya yamebainishwa na mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique (Polícia da República de Moçambique - PRM) comandante Bernardino Rafael.
Mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique amebainisha hayo kwa gazeti la Noticias la nchini Mozambique kuwa watuhumiwa hao wa Dola ya Kiislam Islamic State wanatoka nchi za Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia , Tanzania na DR Congo. Washukiwa hao wa ugaidi wanaojitambulisha kama wanamgambo wa Dola ya Kiislam Islamic State wakifikishwa Mozambique watapelekwa mbele ya vyombo vya sheria nchini humo.
Wana mgambo hao wa Islamic State 516 waliokamatwa Tanzania kutoka mataifa mbalimbali wanatuhumiwa kuendesha mapigano ktk jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique lenye maliasili ya gesi asilia nyingi .
Wanamgambo hao wamesababisha vifo zaidi ya 2,000 na wananchi 500,000 kukimbia makazi yao kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa Islamic State hao katika jimbo la Cabo Delgado lenye mji mkuu wa jimbo hilo unaoitwa Pemba.
Source: https://sicnoticias.pt/mundo/2020-1...-500-detidos-na-Tanzania-vao-ser-extraditados
More info :
19 Novembro 2020
Maputo, Mozambique
Saudi Arabia kuisaidia Mozambique kupambana na ugaidi, waziri wa Saudi Arabia azungumza kuelekea mkutano baina ya Afrika na Saudia Arabia Saudi-Africa Summit source : https://www.jornalnoticias.co.mz/in...bia-saudita-disponivel-para-apoiar-mocambique
November 20, 2020
Muidumbe, Mozambique
Mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique akiwasili mji wa Muidumbe, baada ya majeshi ya usalama ya Mozambique kuukomboa toka kwa wanamgambo wa Dola ya Kiislamu
Source : Maningue Nice Channel
Maputo, Mozambique
Wapiganaji 516 wa Islamic State waliokamatwa Tanzania kurejeshwa Mozambique
Ni baada ya ziara ya mkuu wa jeshi la Polisi Mozambique kamanda Bernadino Rafael nchini Tanzania wiki iliyopita.
Jumla ya Washukiwa 516 wa kutoka mataifa mbalimbali Afrika wanaoshukiwa kujihusisha na ugaidi ktk jimbo lililopo kaskazini mwa Mozambique kurejeshwa nchini Mozambique toka Tanzania haya yamebainishwa na mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique (Polícia da República de Moçambique - PRM) comandante Bernardino Rafael.
Mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique amebainisha hayo kwa gazeti la Noticias la nchini Mozambique kuwa watuhumiwa hao wa Dola ya Kiislam Islamic State wanatoka nchi za Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia , Tanzania na DR Congo. Washukiwa hao wa ugaidi wanaojitambulisha kama wanamgambo wa Dola ya Kiislam Islamic State wakifikishwa Mozambique watapelekwa mbele ya vyombo vya sheria nchini humo.
Wana mgambo hao wa Islamic State 516 waliokamatwa Tanzania kutoka mataifa mbalimbali wanatuhumiwa kuendesha mapigano ktk jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique lenye maliasili ya gesi asilia nyingi .
Wanamgambo hao wamesababisha vifo zaidi ya 2,000 na wananchi 500,000 kukimbia makazi yao kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa Islamic State hao katika jimbo la Cabo Delgado lenye mji mkuu wa jimbo hilo unaoitwa Pemba.
Source: https://sicnoticias.pt/mundo/2020-1...-500-detidos-na-Tanzania-vao-ser-extraditados
More info :
19 Novembro 2020
Maputo, Mozambique
Saudi Arabia kuisaidia Mozambique kupambana na ugaidi, waziri wa Saudi Arabia azungumza kuelekea mkutano baina ya Afrika na Saudia Arabia Saudi-Africa Summit source : https://www.jornalnoticias.co.mz/in...bia-saudita-disponivel-para-apoiar-mocambique
November 20, 2020
Muidumbe, Mozambique
Mkuu wa Jeshi la Polisi la Mozambique akiwasili mji wa Muidumbe, baada ya majeshi ya usalama ya Mozambique kuukomboa toka kwa wanamgambo wa Dola ya Kiislamu
Source : Maningue Nice Channel