Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Hakuna siri chini ya jua unaroga gizani asubui kila MTU anajua we mwangaWanajitia upofu wa mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga ilhali makalio yote yako nje.
Hakuna siri chini ya jua unaroga gizani asubui kila MTU anajua we mwangaWanajitia upofu wa mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga ilhali makalio yote yako nje.
Enzi za kabendera hizoMakonda and Magufuli are too closely linked for the president to escape responsibility.“-The Washington Post.
Makala unayo quote ninya 2018,tuletee makala zao za mwaka 2020Enzi za Kabendera walikuwa karibu zaidi kuliko sasa hivi? Au point yako ni nini haswa?
Kwahiyo makala kuwa ya 2018 kunayafanya matukio hayo kuwa siyo ya kweli? Au accusations kuwa invalid?Makala unayo quote ninya 2018,tuletee makala zao za mwaka 2020
Hoja yako imepitwa na muda leta hoja za mwaka huu kutoka huko mabeberu,aliekua anawaandikia yupo jela,leta hoja zitakazo akisi mwandishi mpyaSwali hapa lilitakiwa litokane na hoja iliyoko mezan
Hii hainaandikwa na Kabendera. Umejisumbua hata kuipitia kabla hujaja na blah blah?Hoja yako imepitwa na muda leta hoja za mwaka huu kutoka huko mabeberu,aliekua anawaandikia yupo jela,leta hoja zitakazo akisi mwandishi mpya
MTU safi afanyi mambo gizani,Ukiona wapinga ufisadi mfano Assad wakifukuzwa,upinzani na taasisi zisaidiazo kumulika ufisadi zikishughulikiwa uhitaji kujua moja mara moja jibu ni mojaUhuru wa habari unapominywa, lazima kuna yasiyo mema yanafanyika gizani.
Suala la Assad nalo limeharibu sana wengi tulidhani ufisadi utashughulikiwa bila upendeleo. Lakini inaonekana kuna wale ambao wananufaika sana na utawala huu nyuma ya pazia ndo maana hawapendi uhuru wa habari na ni ma anti-transparency.MTU safi afanyi mambo gizani,Ukiona wapinga ufisadi mfano Assad wakifukuzwa,upinzani na taasisi zisaidiazo kumulika zikishughulikiwa uhitaji kujua moja mara moja jibu ni moja
Huwezi mtenganisha mswahili na ufisadi,kupata bikira ccm ni sawa na kupata bikira wodi ya wazazi.How ccm underdevelope Tanzania.Suala la Assad nalo limeharibu sana wengi tulidhani ufisadi utashughulikiwa bila upendeleo. Lakini inaonekana kuna wale ambao wananufaika sana na utawala huu nyuma ya pazia ndo maana hawapendi uhuru wa habari na ni ma anti-transparency.
Sana, wamezungumzia pia pesa kutumika kununua wapinzani nk. Wanafahamu kila kitu kuliko hata watanzania walio wengi.
[/QUOTE