Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
nilijua tu hii kazi akipewa Kamanda Nyerere kazi kwisha,ndo maana mwigulu kawa poa,ijumaa natia timu Arumeru
Karibu mkuu...mie nipo tangu Jmosi iliyopita...makao yako tayari.
nilijua tu hii kazi akipewa Kamanda Nyerere kazi kwisha,ndo maana mwigulu kawa poa,ijumaa natia timu Arumeru
Hakuna ushahidi wa kutosha kwenye hili, picha imejificha ficha sana, nani anaweza kuthibitisha kwamba huyo anayeshikwa kichwani ni nasari?
Kama mkuu wa washari mzee Sumari ni babu Yake Siyoi ...what do you expect?Leo nlikuwa na mkuu wa washili,iyo kitu hakuna.ama kuna utaratibu wa mapresdaa wengi ktk nchi moja.duh chadema waongo sana.
aliyeshikwa kichwa ni tendwa, katibu wa propaganda na uenezaji wa umbeya majimboni...!Hakuna ushahidi wa kutosha kwenye hili, picha imejificha ficha sana, nani anaweza kuthibitisha kwamba huyo anayeshikwa kichwani ni nasari?
acha unafiki, mlikuwa wapi? Kama unataka kumuuliza kupata uhakika ntakupm, hata jina la kiongoz huyo wa washili hulijui.Leo nlikuwa na mkuu wa washili,iyo kitu hakuna.ama kuna utaratibu wa mapresdaa wengi ktk nchi moja.duh chadema waongo sana.
ustaadh nenda Arumeru acha kukaa Dar mie ijumaa natia timu tukutane Segera number ya ngu ni ileile niliyokuwa nayo IgungaTimu kampeni ya ngome cdm mkijipanga vizuri hii ya arumeru na kuwapa nguvu na mbinu makampena wenu vijijini hii ngoma tunachukua isiwe km ile ya wale jamaa wanaotafuta hela
Hakuna ushahidi wa kutosha kwenye hili, picha imejificha ficha sana, nani anaweza kuthibitisha kwamba huyo anayeshikwa kichwani ni nasari?
Hakuna ushahidi wa kutosha kwenye hili, picha imejificha ficha sana, nani anaweza kuthibitisha kwamba huyo anayeshikwa kichwani ni nasari?