only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Taarifa rasmi toka kwa kamanda Vicenti Nyerere atakaye ongoza kampeni za CHADEMA huko Arumeru Mashariki ni kuwa wazee wa kishili kata ya Songoro kijiji cha Kilinga wilayani Arumeru wamempa baraka zao mgombea wa CHADEMA..Wakionyesha kukubali kwa chaguo hili la chama makini CDM wazee hawa walimfanyia ibada ya kimila kwa kumshika kichwani kama ishara ya baraka kwa kijana huyu...Hili linaweza kuwa ni pigo kwa mzee Tendwa msajili wa vyama vya siasa na mshili mkuu ambaye ni ndugu wa karibu wa Sioyi Sumari ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitoa taarifa hasi dhidi ya CDM na hasa Mbunge wa Arusha kamanda Godbless Lema.
Hii ni picha ya wazee hawa wakimuwekea mikono kamanda Nassari..
Hii ni picha ya wazee hawa wakimuwekea mikono kamanda Nassari..