Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
mkuu Omutwale kuna laana, laana ya manung'uniko ya wazalendo wa nchi hii inawatafuna CCM na washirika wake. kila mmoja amekuta akizamisha jahazi zaidi pale anapofikiri anapolirukia bila kujua kua analiongezea uzito. wameshikwa na upunguani hawajui kua inapaswa kujitosa na kupiga mbizi ili kujinusuru, vinginevyo watazama nalo.