Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,737
- 22,083
Mkiitwa washenzinakasirika.
Na ushenzi ndo huu
Zamani kidogo connection zilipovuja zilipigwa vita kinyama, zikaja za kina umber ruty nazo zikapigwa vita mwishoe ndo ikawa staili mpya ya kusambaza video za ngono aisee.
Sasahivi mambo yamebadilika tena, ni connection za mashoga na zinaonekana za kawaida tu na zinatembea kinyama daaah.