huyo mama urais ulimfuata naa umemkuta Hana uwezo wa kuusimamia.Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia a
usitishe watu wewe onyesha tusi alilotukana.Hii jeuri ya Kumtukana kama si Kumdhihaki Rais na Amiri Jeshi Mkuu umeitoa wapi Ndugu? Kuwa makini sana tafadhali.
huyo jamaa hajielewi, analeta maneno ya kizamani sanaHizo mbona za kitambo sana,usitishe watu dogo.
Babu tale tena, tumepigwa.Wabunge WA ccm..
Kina babutale ndio washauri wake
Kimsingi nasikia hanaga hoja, hata akiwa barazani na mawaziri wake huwa anawauliza mmpejipangaje, akielezwa nasema nendeni mkayatekeleze