Washauri wa Rais, naombeni mshaurini Rais anyamaze mpaka janga la COVID19 lipite

Acha ujinga wewe, tangu lini BBC, VOA n.k wakaipenda Afrika?

Siku zote hivyo vyombo vya habari vya wazungu asilimia kubwa vinatangaza mambo mabaya yanayohusu Afrika,

Je unaweza kueleza mambo mabaya aliyoelezea leo Raisi hadi useme eti Rais asiongee hadi CORONA ipite "pumbavu kabisa wewe "

Watu msiwe kama Bendera fuata upepo kwa kufikiri kila jambo linalofuata na wazungu ni zuri.
Wazungu hao ndio wameanzisha ushoga, usagaji, ndoa za jinsia moja na uchafu mwingine mwingi kwenye jamii.
Leo wewe mjinga unataka Rais aongee vitu vya kupendeza wazungu, unasikitisha sana.

Watanzania mnatakiwa kujua kwanza ajenda kwanza zilizopo kwenye huu ugonjwa ndio muhoji kama Rais anaongea ukweli au uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la Kupendwa au kutopendwa na Manguruwe wala hata halihusiani na Mada..Mzee wako kazingua

Gaddafi alikua hapendwi ila Alikua ni Mfano wa kuigwa kuanzia Matendo Mpaka kauli ndio maana alichafuliwa na Hao Mabeberu unao sema

Haya njoo nyumbani kwako Jiwe unaona mambo yake? anavyo ropoka ropoka hovyo? Mambo mengine tunatiana aibu tu Mtu Iconic unaongea vitu ambayo havina Logic si Bora angetulia sasa au na wewe unataka kusema Majibu baada ya vipimo ni ya uongo? kwama tusema hamna Covid kwetu sio?

Haya mbona watu wanakufa wanazikwa usiku kwa usiku

Mbona ye mwenyewe kajifungia umo aliko? aje basi Dar
 
Ninasema kweli. Kama leo watu hawaelewi, siku zinakuja ambazo watu watamwelewa sana na watampongeza Dr Magufuli.
Hivi mnaolilia lockkdown hamwoni mataifa yaliyofanya lockdown wameamua kujifungua japo maambumizi mapya ni zaidi ya 10,000 kwa siku na vifo ni zaidi ya 1000 kwa siku! Wamegundua waliingia chaka!!
Kuna Taifa liliamua kuhamisha raia wake kutoka Tanzania! Kisa: 1. Tumekataa kufunga nyumba za ibada 2. Tumekataa lockdown!!
Wakategemea watanzania watakufa sana!! Matokeo huko kwao ndiko wanakufa sana, na mwisho wa siku wanatuiga kuachana na lockdown japo hawataki kukiri hivyo!!
Rais wetu yuko sahihi!!



o
 
Wakimshauri kinyume na anavyowaza, wanafukuzwa, hata ikiwa mimi nitamshauri/nitampa neno analotaka kulisikia

Kujiuzulu ilikuwa dawa badala ya kubakia kimya. Pesa si kila kitu.

CHADEMA wasitishike huu muda wanahitaji Mussa na Haruni kuliko wakati mwingine wowote.

Farao kiburi na jeuri ndiyo hiyo inazidi. Pigo la mwisho laja.

Hakuna kukata tamaa tujipange kunusuru maisha yetu.
 
Wakimshauri kinyume na anavyowaza, wanafukuzwa, hata ikiwa mimi nitamshauri/nitampa neno analotaka kulisikia

Kujiuzulu ilikuwa dawa badala ya kubakia kimya. Pesa si kila kitu.

CHADEMA wasitishike na posho huu muda wanahitajika Mussa na Haruni kuliko wakati mwingine wowote.

Farao kiburi na jeuri ndiyo hiyo inazidi. Pigo la mwisho laja.

Hakuna kukata tamaa tujipange kunusuru maisha yetu na yake huyu asiyejua.
 
Rais ana uhuru na haki ya kuongea yoyote anayotaka, hakuna anayeweza kumpangia. Lakini kumsikiliza na kutekeleza yale anayosema ni maamuzi yako (za kuambiwa changanya na za kwako), ukumbuke uhai ni wako na corona haichagui mchapa kazi wala mvivu.
 
Speech yake ya leo baada ya kubandikwa tu na Pascal kwenye uzi wake,nikaipokea toka USA kwa WhatsApp,anyway madhara ya speech zake mkuu hayapo WHO tu bali hata hapa home.watu tutakufa sana kwa kuendelea kumuamini
Sisi tunashikiliza watalam, hatusikilizi Wana siasa. Wanasiasa tunawahaam,
 
Washauri wa Rais popote mlipo iwe Dar, Dodoma au Chato, Naomba mshaurini Rais wetu mpendwa anyamaze mpaka corona ipite, Ninapoona speech za rais ambazo zinaacha maswali mengi na washauri ndio wanaonekana ni tatizo kwa kumshauri vibaya Rais wetu so please Mwambieni ukweli anyamaze kuna mambo anaongea yanamshushia heshima kweli.

Najua Rais ni taasisi kama mnamshauri anakataa bora mjiuzulu hamna kazi mnayofanya hebu angalieni effect za speech zake kwenye vyombo vya habari ya kimataifa kama BBC, VOA etc. na madhara ya speech zake kule WHO.

Atulie tu kwani anakosa nini kule Chato anyamaze janga la Corona litapita then tutarejea kwenye maisha ya kawaida kunyamaza kimya ni bora kuliko kuongea mambo yanayoacha maswali mengi zaidi ya majibu.

Rais kauli zake zina nguvu sana ndio maana unaona zinafuatiliwa sio tu Tanzania zaidi nje ya nchi clip zake zinazunguka zikiwa zimefanyiwa tafsiri ya lugha mbali mbali.
Yaani ukiangali kitu mataifa ya nje yana fanya kuhusu corona halafu ukisikiliza ngonjera za viongozi wa Tanzania, nakumbuka kile kitabu cha Mzee Shaaban Robert cha nchi ya kusadikika.
Kuna mazingaombwe mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uwezekano hata hao washauri wake anahisi wanatumika na mabeberu!
Imagine mpaka watumishi wa Afya wanahisiwa wanatumika na mabeberu!!
 
Kuna uwezekano hata hao washauri wake anahisi wanatumika na mabeberu!
Imagine mpaka watumishi wa Afya wanahisiwa wanatumika na mabeberu!!

Kwa mwendo huu si muda mrefu atakuwa anatuhumu sehemu za mwili wake kutumika ba mabeberu.

Yetu macho.
 
Katulia Tumepumua

Mkuu ilisemekana wapo waliosali mchana na usiku Corona ije. Yaonyesha sub-hana aliwakusikiza sana.

Si waangushe dua nyingine ili huyu dude atupe kupumua zaidi kuliko hii ya mzee baba ambayo kwa hakika ni kama ka sindano cha ganzi tu?
 
Yaani ukiangali kitu mataifa ya nje yana fanya kuhusu corona halafu ukisikiliza ngonjera za viongozi wa Tanzania, nakumbuka kile kitabu cha Mzee Shaaban Robert cha nchi ya kusadikika.
Kuna mazingaombwe mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wenyewe wanataka tuamini Corona iko mitandaoni tu. Eti huku mitaani ni shwari. Wana eti ujasiri wapelekwe kwa wafiwa na mahospitalini.

Yote ya nini si watoe takwimu? Yote tisa sasa takwimu zinatokea Namanga. Hao ni madereva tu.

Kwa vile mitaani shwari hawa watakuwa wameupatia huko Namanga. Tuendelee kuchapa jazi.

Kazi na nyungu!
 
Washauri wa Rais popote mlipo iwe Dar, Dodoma au Chato, Naomba mshaurini Rais wetu mpendwa anyamaze mpaka corona ipite, Ninapoona speech za rais ambazo zinaacha maswali mengi na washauri ndio wanaonekana ni tatizo kwa kumshauri vibaya Rais wetu so please Mwambieni ukweli anyamaze kuna mambo anaongea yanamshushia heshima kweli.

Najua Rais ni taasisi kama mnamshauri anakataa bora mjiuzulu hamna kazi mnayofanya hebu angalieni effect za speech zake kwenye vyombo vya habari ya kimataifa kama BBC, VOA etc. na madhara ya speech zake kule WHO.

Atulie tu kwani anakosa nini kule Chato anyamaze janga la Corona litapita then tutarejea kwenye maisha ya kawaida kunyamaza kimya ni bora kuliko kuongea mambo yanayoacha maswali mengi zaidi ya majibu.

Rais kauli zake zina nguvu sana ndio maana unaona zinafuatiliwa sio tu Tanzania zaidi nje ya nchi clip zake zinazunguka zikiwa zimefanyiwa tafsiri ya lugha mbali mbali.
Washauri wako chato
 
Back
Top Bottom