Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 859
Tunaambiwa kuwa wengi wao wamesoma kwenye Ivy League Universities na wengine walifanya kazi World bank na of course wengine wanastahili kuchukua nafasi ya Ugavana
Hivi tangu JK achukue nchi kwa nini idadi ya wanaopitisha mizigo Bandari ya Mombasa imeongezeka kuliko wanaotumia Bandari ya Dar
Strange enough mtu yuko radhi atoe mpaka laki tatu zaidi kule Mombasa na kuipa revenue jamaa wa KRA kuliko TRA na wakaguzi wao
Hivi kama hao washauri wa Uchumi wanashindwa kushauri kuhusu urasimu pale bandari Dar au Airport what makes you think hawa jamaa ni washauri wazuri?
Hawa jamaa kila kukicha wanamshauri rais aende kwenye mikutano isiyo na kichwa wala miguu ulaya na America lakini matunda mbona hatuyaoni?
Hamuoni kuwa media Tanzania wanaconspire ili kuendeleza political elite na nadhani tuanze na hawa jamaa wanaomshauri JK kwenye uchumi. In short jamaa sioni cha maana walichomshauri na zaidi mpaka leo sielewei kulikuwa na umuhimu gani wa kupewa msaada wa kujengewa uwanja wa mpira wa mamilioni wakati tungeomba msaada yw akujengewa kilimita kadhaa za bara bara kule Bukoba ambako mpaka leo bado wana makovu ya vita and of course walisufffer zaidi.
sasa sijui tatizo liko wapi? inawezekana ikawa JK ni mbishi kufuata ushauri au washauri wake wa uchumi wote ni BOMU
wenzangu mna maoni gani kuhusu hili
Hivi tangu JK achukue nchi kwa nini idadi ya wanaopitisha mizigo Bandari ya Mombasa imeongezeka kuliko wanaotumia Bandari ya Dar
Strange enough mtu yuko radhi atoe mpaka laki tatu zaidi kule Mombasa na kuipa revenue jamaa wa KRA kuliko TRA na wakaguzi wao
Hivi kama hao washauri wa Uchumi wanashindwa kushauri kuhusu urasimu pale bandari Dar au Airport what makes you think hawa jamaa ni washauri wazuri?
Hawa jamaa kila kukicha wanamshauri rais aende kwenye mikutano isiyo na kichwa wala miguu ulaya na America lakini matunda mbona hatuyaoni?
Hamuoni kuwa media Tanzania wanaconspire ili kuendeleza political elite na nadhani tuanze na hawa jamaa wanaomshauri JK kwenye uchumi. In short jamaa sioni cha maana walichomshauri na zaidi mpaka leo sielewei kulikuwa na umuhimu gani wa kupewa msaada wa kujengewa uwanja wa mpira wa mamilioni wakati tungeomba msaada yw akujengewa kilimita kadhaa za bara bara kule Bukoba ambako mpaka leo bado wana makovu ya vita and of course walisufffer zaidi.
sasa sijui tatizo liko wapi? inawezekana ikawa JK ni mbishi kufuata ushauri au washauri wake wa uchumi wote ni BOMU
wenzangu mna maoni gani kuhusu hili