radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Tanesco vipi tunajiandaa watu kuangalia gwaride mshafanya yenu kwa nini lakin? kama kuna mgao wa umeme si mseme ukweli tu kuwa punzi ndogo root ndefu hii aibu tena siku ya muhimu leo umeme kukatwa.
Mheshimiwa angaika nao hao Tanesco wanakudanganya hali tete mgao wa umeme upo msitudanganye watz.
Mheshimiwa angaika nao hao Tanesco wanakudanganya hali tete mgao wa umeme upo msitudanganye watz.