Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Nimefanikiwa kupata usajiri wa NGO, ya kijamii inayoitwa Home Of Diginity (HODi), hii itahusika na utetezi haki za binadamu kuhusu masuala ya afya mkoa wa Mara.
Mimi nikiwa mwenyekiti wa board napenda kutoa taarifa hii na ifahamike kuwa harakati hizi ni za kuhakikisha wanajamii wanapata haki yao
Walengwa
Walengwa ni wananchi wote wa mkoa wa mara,...
TUTAHUSIKA ZAIDI KUWATETEA NA KUPIGANIA HAKI ZA BINADAMU KAMA IFUATAVYO;-
1. Wafanyakazi wlioumia wakiwa kazini
2. watoto wa kike wanaokeketwa
3. wanawake wanaopigwa na kuumizwa na waume zao
4. wasiotendewa haki hosp..
5. wakulima wanaharibiwa mazao na wanyama pori,
Nikiwa mtu sahihi wa afya nina lengo la kuhakikisha afya ya binadamu inalindwa na kuheshimiwa, pia tutatumia fursa hii kutoa elimu ya uelewa wa mambo mbalimbali ya kijamii.........mengine tutajuzana as time go.........
Mimi nikiwa mwenyekiti wa board napenda kutoa taarifa hii na ifahamike kuwa harakati hizi ni za kuhakikisha wanajamii wanapata haki yao
Walengwa
Walengwa ni wananchi wote wa mkoa wa mara,...
TUTAHUSIKA ZAIDI KUWATETEA NA KUPIGANIA HAKI ZA BINADAMU KAMA IFUATAVYO;-
1. Wafanyakazi wlioumia wakiwa kazini
2. watoto wa kike wanaokeketwa
3. wanawake wanaopigwa na kuumizwa na waume zao
4. wasiotendewa haki hosp..
5. wakulima wanaharibiwa mazao na wanyama pori,
Nikiwa mtu sahihi wa afya nina lengo la kuhakikisha afya ya binadamu inalindwa na kuheshimiwa, pia tutatumia fursa hii kutoa elimu ya uelewa wa mambo mbalimbali ya kijamii.........mengine tutajuzana as time go.........