Wasemavyo makamanda walioko mstari wa mbele igunga

Mghaka

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
320
127
Leo mchana nilijiuliza nini hasa mchango wangu katika harakati za ukombozi wa pili wa Mtanzania, wazo nilikanijia kuwa niwaandikie makamanda watano walioko msitari wa mbele kuwapa moyo ili watambue kuwa Igunga wako wachache lakini tumesambaa tanzania nzima tunapigana vita hiyo wanayopigana kwa namna mbalimbali na kwa hiyo wawe na faraja kuwa ingawa Igunga wako wachache lakini nafsi za watanzania mamillion kwa mamillion zinasuuzika na mafanikio yao.

Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra "Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"


Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi.


Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi


Aluta continua

Viva ukombozi wa fikra
 
Leo mchana nilijiuliza nini hasa mchango wangu katika harakati za ukombozi wa pili wa Mtanzania, wazo nilikanijia kuwa niwaandikie makamanda watano walioko msitari wa mbele kuwapa moyo ili watambue kuwa Igunga wako wachache lakini tumesambaa tanzania nzima tunapigana vita hiyo wanayopigana kwa namna mbalimbali na kwa hiyo wawe na faraja kuwa ingawa Igunga wako wachache lakini nafsi za watanzania mamillion kwa mamillion zinasuuzika na mafanikio yao.

Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra "Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"


Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi.


Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi


Aluta continua

Viva ukombozi wa fikra

Pambaneni makamanda wetu katika vita hii ya kuikomboa Tanganyika kutoka katika ukoloni wa mamwinyi wa Zanzibar
 
Leo mchana nilijiuliza nini hasa mchango wangu katika harakati za ukombozi wa pili wa Mtanzania, wazo nilikanijia kuwa niwaandikie makamanda watano walioko msitari wa mbele kuwapa moyo ili watambue kuwa Igunga wako wachache lakini tumesambaa tanzania nzima tunapigana vita hiyo wanayopigana kwa namna mbalimbali na kwa hiyo wawe na faraja kuwa ingawa Igunga wako wachache lakini nafsi za watanzania mamillion kwa mamillion zinasuuzika na mafanikio yao. <br />
<br />
Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra &quot;Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza&quot; <br />
<br />
<br />
Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi. <br />
<br />
<br />
Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi<br />
<br />
<br />
Aluta continua <br />
<br />
Viva ukombozi wa fikra
<br />
<br />
 
Leo mchana nilijiuliza nini hasa mchango wangu katika harakati za ukombozi wa pili wa Mtanzania, wazo nilikanijia kuwa niwaandikie makamanda watano walioko msitari wa mbele kuwapa moyo ili watambue kuwa Igunga wako wachache lakini tumesambaa tanzania nzima tunapigana vita hiyo wanayopigana kwa namna mbalimbali na kwa hiyo wawe na faraja kuwa ingawa Igunga wako wachache lakini nafsi za watanzania mamillion kwa mamillion zinasuuzika na mafanikio yao.

Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra "Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"


Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi.


Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi


Aluta continua

Viva ukombozi wa fikra

Fikra zipi hizo kupiga wakuu wa wilaya tena wanawake?

Fikra zitatoka kwenu nyinyi msio na uadilifu hata kidogo..pole
 
"Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"

Aluta continua

Viva ukombozi wa fikra

Naunga mkono hoja, tujiamini kuwa tunaweza na siyo tusubiri kutegemea kupewa misaada hadi Suti :(
 
Watu wanachapa sana siku hizi kila kona, nikiingia fb napata faraja na watanzania wanavyoweka press releases kila dakika kuelimishana juu ya hawa madhalimu na wakoloni weusi, kwa pamoja tutaweza.

Shukrani zangu nyingi ziiende kwa Mwana Kijiji siku hizi ana wachapa JF, fb na Fikra Pevu; Mungu ampe rehema na nguvu zaidi kazi yake ni kazi ya damu na roho.
 
mjomba wenu Gadafi yuwapi nasikia anaishi shiomoni..

Wanaweza kuondoa watu wenye imani siyo yenu hiyo pesa..tunamtegemea Slaa arudisha kadi hivi karibuni..likes of Lyatonga hawasumbui sana..

Wakati huo mtakuwammekataa tamaa kwisha kabisa poleni..
 
Wanaweza kuondoa watu wenye imani siyo yenu hiyo pesa..tunamtegemea Slaa arudisha kadi hivi karibuni..likes of Lyatonga hawasumbui sana..

Wakati huo mtakuwammekataa tamaa kwisha kabisa poleni..
Dua la kuku.
 
Pamoja tutashinda...hawa masnitch wachache wasituvunje moyo ukombozi wa kweli umekaribia.
 
Together we cana make it.
Watanzania wana macho ila hawaon.
Wana masikio ila hawasikii.
Makamanda wazibueni macho na masikio.
 
Fikra zipi hizo kupiga wakuu wa wilaya tena wanawake?

Fikra zitatoka kwenu nyinyi msio na uadilifu hata kidogo..pole

Tunataka kubadili fikra za kujali mkate na kuchumia tumbo badala ya kuweka masilahi ya umma mbele, fikra za ndiyo mzee, fikra za kushabikia urafiki, undugu na itikadi isiyo na tija badala ya ushabiki wa hoja, uchapaji kazi na uadilifu. Tunataka kubadili fikra potofu za kusema Tanzania hii ambayo ni hoi mikononi mwa CCM eti haiwezi kuwa mikononi mwa watu wengine wasio wana ccm. Kuiondoa nchi na taifa letu pamoja na rasilimali zetu mikononi mwa mafisadi, kuwaongoa watanzania katika kivuli cha wajinga wachache waliotusaliti kwa kuharibu misingi yetu tuliyojiwekea ya miiko ya uongozi.
 
Wale tunaofanya maombi tuwe tunawakumbuka hawa ndugu maana kazi wanayoifanya ni ngumu. Pia tuwaombee wanaigunga Mungu awafunguwe macho waone. Mimi naamini vita hivi si vya damu na nyama!
 
Tunataka kubadili fikra za kujali mkate na kuchumia tumbo badala ya kuweka masilahi ya umma mbele, fikra za ndiyo mzee, fikra za kushabikia urafiki, undugu na itikadi isiyo na tija badala ya ushabiki wa hoja, uchapaji kazi na uadilifu. Tunataka kubadili fikra potofu za kusema Tanzania hii ambayo ni hoi mikononi mwa CCM eti haiwezi kuwa mikononi mwa watu wengine wasio wana ccm. Kuiondoa nchi na taifa letu pamoja na rasilimali zetu mikononi mwa mafisadi, kuwaongoa watanzania katika kivuli cha wajinga wachache waliotusaliti kwa kuharibu misingi yetu tuliyojiwekea ya miiko ya uongozi.

Somo hilo lingeanza kwenye chama chenu..ondoeni fikra za kushabikia undugu na ukanda..mfano. viti maalum

Misingi imewekwa na ccm siyo nyinyi..nyinyi misingi mlianza kuweka lini na wapi?

anaweza kufuata misingi ni yule aliyeweka misingi na si vinginevyo..

tafuta hoja nyingine acha kuimba ngojera...
 
Back
Top Bottom