Leo mchana nilijiuliza nini hasa mchango wangu katika harakati za ukombozi wa pili wa Mtanzania, wazo nilikanijia kuwa niwaandikie makamanda watano walioko msitari wa mbele kuwapa moyo ili watambue kuwa Igunga wako wachache lakini tumesambaa tanzania nzima tunapigana vita hiyo wanayopigana kwa namna mbalimbali na kwa hiyo wawe na faraja kuwa ingawa Igunga wako wachache lakini nafsi za watanzania mamillion kwa mamillion zinasuuzika na mafanikio yao.
Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra "Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"
Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi.
Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi
Aluta continua
Viva ukombozi wa fikra
Kamanda mmoja wao alinijibu hivi naniombe ruhusa yake nitumie maneno yake yaliyoko moyani mwake ambayo kwa kifupi ni kwamba hatua na vita inayopiganwa sasa ni ile ya ukombozi wa fikra "Aksante ndugu, mtu mweusi anahitaji ukombozi wa fikra ili kujitoa kwenye mikono ya dhuluma, unyonyaji, uzandiki na umangimeza wa mabepari uchwara na kwamba pamoja twaweza"
Ukwell ni kwamba utupu katika fikira hufanya mwanadamu aone mambo yote sawa na neno analolijua na kulitumia mara nyingi ni ndiyo, sawa, tunakubali na hajawahi kuuliza kwa nini? kwa kifupi anasema tusiwachukie watanzania kwani walipumbazwa fikra na kudhani Mbunge/kiongozi waliomchagua anaweza kuwa Mungu mtu mbele ebu fikiria anaulizwa swali la Msingi anasema hiyo siyo kazi ya waziri, heeee! mwe! hivi waziri ni nani jamani nilimsikiliza Wasira akanichefua ndiyo maana akisinzia bungeni akipigwa picha anasema huu ni uchonganishi.
Niwaombe kila mtu alipo na saa yoyote hakikisha unafanya kazi ya kuleta ukombozi wa fikra ili kazi ya makamanda wa mstari wa mbele iwe rahisi
Aluta continua
Viva ukombozi wa fikra