The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,843
- 3,259
Waki kwambia ni tagNaomba mnieleweshe kuna tofauti gani kati ya Shia na suffi.
Pia inakuaje muislamu anakuwa Shia au Sunni mf.wakristo Mara nyingi kuwa RC,Anglican au mlutheri inatokana na kurithi kutoka kwa wazazi.