Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Habarini Wana Jf
Niende moja kwa moja kwenye topic, kiukweli label kuoperate sio Lele mama Kama wengi wao wanavyozania maana inahitaji moyo wa Chuma Kama alio nao Rayvanny na Diamond platinumz maana wao ndio wameikamata hii industry kwa kuonesha Ni jinsi gani Wana core values za music and always they thinking about making money.
Na pia inaonyesha jinsi gani wasanii wao wamekua na wanakubalika kila nyanja kwa ukubwa sawasawa na wengine na kwa kila kitu kuanzia Utunzi,nyota na usupestar tofauti na waupande wapili.
N.B:tusidanganyane WCB na NLM ndio label kubwa East Africa nlkwa ujumla.
Niende moja kwa moja kwenye topic, kiukweli label kuoperate sio Lele mama Kama wengi wao wanavyozania maana inahitaji moyo wa Chuma Kama alio nao Rayvanny na Diamond platinumz maana wao ndio wameikamata hii industry kwa kuonesha Ni jinsi gani Wana core values za music and always they thinking about making money.
Na pia inaonyesha jinsi gani wasanii wao wamekua na wanakubalika kila nyanja kwa ukubwa sawasawa na wengine na kwa kila kitu kuanzia Utunzi,nyota na usupestar tofauti na waupande wapili.
N.B:tusidanganyane WCB na NLM ndio label kubwa East Africa nlkwa ujumla.