BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,040
- 10,460
Amapiano ni muziki mzuri na hivi karibuni umekwenda Sana kwa kiwango kizuri (umu Jf tunasema umekwenda kwa kiwango Cha dreamliner) pongezi kwa wa SA yote hii ni matokeo ya uzalendo na kuamini Cha kwao kwa kukipigania bila ya kuchoka (Persistence).
Ukitazama Singeli na Amapiano ni miziki yenye tofauti kwa maana ya midundo na hata asili ya inapotokea lakini Ina sifa moja inayofanana nayo ni amsha amsha Kama Ni mpenzi wa kuyarudi Kama Mimi Baba Morgan ni wazi hutosimama DJ akiwa anafanya yake kwenye pioneer mashine.
Kitendo Cha wasanii wengi wa bongo kuimba Amapiano badala ya Singeli kwangu Mimi naweza kufananisha kitendo hicho na uhaini tumekisaliti Chetu mapema kisa ni mafanikio ya Amapiano Leo hii dunia nzima inajua Amapiano Ni muziki wa South Africa inapotokea wasanii wetu wa bongo wanaofanya vizuri kuimba Amapiano inatufanya kukosa uwakilishi katika burudani wa Nchi yetu pendwa Tanzania huko ulimwenguni.
Wapo watakaohoji kuwa tumeiga aina nyingi za miziki kwa nini kuiga Amapiano iwe makosa? Muendelezo wa makosa hauwezi kuhalalisha kosa.
Hakuna kitu kinakuja kwa urahisi haswa katika mafanikio(no pain no gain) tupambanie Chetu na kukifikisha pale tunapohitaji hapo ndipo uwezo wetu utaonekana.
Singeli hizi zikuburudishe jioni ya Leo.
1. Hamisa mobeto - Ex wangu
2. Easy man - Fatuma na juma
3. Rayvany - Miss Buza
4. Harmonize - Hujanikomoa
5. Mzee wa bwax - kisimu changu
From northern part of Tanzania.
Ukitazama Singeli na Amapiano ni miziki yenye tofauti kwa maana ya midundo na hata asili ya inapotokea lakini Ina sifa moja inayofanana nayo ni amsha amsha Kama Ni mpenzi wa kuyarudi Kama Mimi Baba Morgan ni wazi hutosimama DJ akiwa anafanya yake kwenye pioneer mashine.
Kitendo Cha wasanii wengi wa bongo kuimba Amapiano badala ya Singeli kwangu Mimi naweza kufananisha kitendo hicho na uhaini tumekisaliti Chetu mapema kisa ni mafanikio ya Amapiano Leo hii dunia nzima inajua Amapiano Ni muziki wa South Africa inapotokea wasanii wetu wa bongo wanaofanya vizuri kuimba Amapiano inatufanya kukosa uwakilishi katika burudani wa Nchi yetu pendwa Tanzania huko ulimwenguni.
Wapo watakaohoji kuwa tumeiga aina nyingi za miziki kwa nini kuiga Amapiano iwe makosa? Muendelezo wa makosa hauwezi kuhalalisha kosa.
Hakuna kitu kinakuja kwa urahisi haswa katika mafanikio(no pain no gain) tupambanie Chetu na kukifikisha pale tunapohitaji hapo ndipo uwezo wetu utaonekana.
Singeli hizi zikuburudishe jioni ya Leo.
1. Hamisa mobeto - Ex wangu
2. Easy man - Fatuma na juma
3. Rayvany - Miss Buza
4. Harmonize - Hujanikomoa
5. Mzee wa bwax - kisimu changu
From northern part of Tanzania.