tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,788
- 4,490
Kama kweli unakipaji basi usikate tamaa jitahidi tu utafika mbali,hebu angalia huyu kijana alikotokea mpaka leo hapo alipofika.
Nakumbuka hata wakina Jot na Mpoki walikotoka wakati ule wakijifanya mafundi umeme na ma overoll yao na leo wakifika ni hatua na wako mbali sana kwa sasa.
Nakumbuka hata wakina Jot na Mpoki walikotoka wakati ule wakijifanya mafundi umeme na ma overoll yao na leo wakifika ni hatua na wako mbali sana kwa sasa.