Wasanii wasusia Kampeni ya Uzalendo kwanza

Mideko

JF-Expert Member
Mar 30, 2015
35,268
190,728
Viongozi wa taasisi ya Uzalendo Kwanza wameamua kujiweka pembeni kwa kile walichodai kwamba hawamuelewi mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.


Chanzo makini kililieleza kuwa viongozi wote akiwemo aliyekuwa makamu mwenyekiti, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na wengine kama Halima Yahya ‘Davina’, Salom Urassa ‘Thea’, Sabrina Rupia ‘Cathy’ waliamua kujiweka pembeni kwa kile wanachodai kuwa Steve Nyerere anajinufaisha mwenyewe kwani anafanya mambo kibao bila kuwashirikisha.

Viongozi hao ambao walikiri kujiweka pembeni kwa sababu hawamwelewi Steve na kudai kuwa ili wasije kugombana wameamua kujiengua mapema wafanye mambo yao mengine ingawa haki zao zipo palepale kwani ndiyo waanzilishi. Kwa upande wa Steve alipoulizwa kuhusiana na hilo alijibu kwa ufupi ‘hakuna kitu kama hicho’.
 
Nikimuona Steve huwa nacheka tuu.
Nikikumbuka ile saga yake na mama wema na namna alivyokuja kuomba msamaha mbele ya waandishi wa habari, mpk kulia machozi naona bongo hamna msanii na mzee wa kuchungulia fursa km Steve Mengere, huyu jamaa ni njaa hatari.
 
Haka kajamaa na ufupi wake nashangaa kwanini mara zote ndiko kanakuwa kanawaongoza wenzake
 
kafupi kama mav na kichwani kumejaa maji nashangaa sijui wanakubalije kuongozwa na haka kapilitoni
 
Mi napata shida sana Kumtofautisha na Polepole, hawajulikani ni Wazee ama Vijana
Halafu ngozi yake amekarithisha wanawe..alipost selfie na mwanae nikajua mbabu gani..mtoto mdogo ana sura nzito kama uji Wa magimbi!
 
Back
Top Bottom