JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.
Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.
Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.
Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,
Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....
Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.
Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.
Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,
Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....
Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.