Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,390
- 21,079
Wasanii wa kike wa bongo muvi wamechukia sana kauli ya Shamsa Ford baada ya kuwaambia kuwa hawamfikii kwa uzuri Irene Pancras Uwoya hata ukucha .
Kauli hiyo ya Shamsa Ford iliibua mjadala mzito kati ya bongo muvi wenyewe na mashabiki.
Wapo walioungana na kauli ya Shamsa Ford huku wengine wakipinga kwa ukali kauli hiyo kwa kudai kuwa huyo Uwoya hamfikii hata yeye (Shamsa)
Baadhi ya maoni kwa washabiki View attachment 65380
Ila kweli aisee Irene ni chombo balaa
Kauli hiyo ya Shamsa Ford iliibua mjadala mzito kati ya bongo muvi wenyewe na mashabiki.
Wapo walioungana na kauli ya Shamsa Ford huku wengine wakipinga kwa ukali kauli hiyo kwa kudai kuwa huyo Uwoya hamfikii hata yeye (Shamsa)
Baadhi ya maoni kwa washabiki View attachment 65380
Ila kweli aisee Irene ni chombo balaa