Ndio hao kwenye picha? Mi hapo nimemwona sadist nyuma ya nondoHaters
Anayopitia hosn Mubarak ujumbe kwa wote wanaokumbatia ubinywaji haki za raia nchini mwao. Na wote waliojitabiria kuwa wafungwa wa baadae
Yeah ni kweli mubarak nadhan ameshafariki ila alipitia kitu kama hichoJapo kwenye picha ni Omar al-Bashir former presidaa wa Sudan mkuu ila moral of the story ninakubaliana.
Hizo ni nondo za Sudan bado za kule ulaya
In God we Trust
Yule ana chapa hawezi kwenda hukoKama Lugola alivyo kuwa anashabikia na kuwasisitizia wafungwa walime na kuzalisha chakula chao wenyewe
In God we Trust
Comedy tu wa kule utangulia kwanza kisha ushahidi ndo unatafutwa akiwa tyr ndaniNimekusoma mkuu lkn hiyo chapa inafikia kwenye anayo tuhumiwa nayo ya 1b+?
In God we Trust
Pia Lugola alikuwa anasema kwa madaha na mbwembwe kwamba mfungwa lazima "AHENYEKE".Kama Lugola alivyo kuwa anashabikia na kuwasisitizia wafungwa walime na kuzalisha chakula chao wenyewe
In God we Trust