mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Moja kati ya viumbe vinavyoishi maisha ya maigizo ni wasanii wetu wa Mziki na Maigizo hapa tz, Ukiangalia maisha wanayoishi wengine kwa kuigiza na wengine kwa kutumia vya kwao kweli lakini sio watu wa kukumbuka kuweka akiba.
Wakipata wao ni matumizi tu hawakumbuki kuweka akiba ya baadae, uwakute sasa wanavyotunzana kwenye sherehe zao mtu anaweza akamwaga hata millioni ya kutunza tu bado zawadi, ila akija kuugua tu utashangaaa anaomba watanzania tumchangie hela ya matibabu
Mwangalie huyu anayejiita janja, mara nyingi anajipiga picha na madola instagram lakini kashindwa hata kumjengea mama yake kijumba cha kujistiri pale ngarenaro, na kwa jeuri kaenda kuowa mkurembembe kabisa kujionyesha yupo juu
Mwangalie sepenga anavyoishi kistar lakini hata banda hajawahi kujenga hadi leo anaishi kwenye nyumba ya urithi, pamoja na ustar wao wote na maisha ya kuigiza shida zikiwapata hawachelewi kupitisha harambee kwenye Mpesa na tigo pesa tuwachangie
Watanzania huu ni mda maalum sasa muache kuchoma pesa zenu kwa hawa watu, maisha wanayoishi ni ya anasa, siku yakiwakuta kila mtu apambane na hali yake kwani hata sisi huwa tunajitibia kimya kimya
Wasanii wa Tz ni majipu
Wakipata wao ni matumizi tu hawakumbuki kuweka akiba ya baadae, uwakute sasa wanavyotunzana kwenye sherehe zao mtu anaweza akamwaga hata millioni ya kutunza tu bado zawadi, ila akija kuugua tu utashangaaa anaomba watanzania tumchangie hela ya matibabu
Mwangalie huyu anayejiita janja, mara nyingi anajipiga picha na madola instagram lakini kashindwa hata kumjengea mama yake kijumba cha kujistiri pale ngarenaro, na kwa jeuri kaenda kuowa mkurembembe kabisa kujionyesha yupo juu
Mwangalie sepenga anavyoishi kistar lakini hata banda hajawahi kujenga hadi leo anaishi kwenye nyumba ya urithi, pamoja na ustar wao wote na maisha ya kuigiza shida zikiwapata hawachelewi kupitisha harambee kwenye Mpesa na tigo pesa tuwachangie
Watanzania huu ni mda maalum sasa muache kuchoma pesa zenu kwa hawa watu, maisha wanayoishi ni ya anasa, siku yakiwakuta kila mtu apambane na hali yake kwani hata sisi huwa tunajitibia kimya kimya
Wasanii wa Tz ni majipu