figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Asilimia kubwa ya wasanii wa tmk wanachanganya maneno yanayo husu misosi au vinywaji katika nyimbo zao.eg.kachumbali,vinywaji kwenye furiji,mishikaki n.k.
hadi sasa hivi sijajua kama ndo misingi yao au vipi.
sikiliza nyimbo zifuatazo;.
:nampenda yeye by temba
:dar mpaka moro by tmk
:twende zetu by tmk
:ndege tunduni by tmk
:karibuni kiumeni by tmk
:temeke by tmk
:tatu bila by tmk
:sonia by doro(tmk)
pamba nyepesi,mtoto wa geti kali by babu(tmk)
zipo nyingi sana.
nawasilisha.
mia
hadi sasa hivi sijajua kama ndo misingi yao au vipi.
sikiliza nyimbo zifuatazo;.
:nampenda yeye by temba
:dar mpaka moro by tmk
:twende zetu by tmk
:ndege tunduni by tmk
:karibuni kiumeni by tmk
:temeke by tmk
:tatu bila by tmk
:sonia by doro(tmk)
pamba nyepesi,mtoto wa geti kali by babu(tmk)
zipo nyingi sana.
nawasilisha.
mia