Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Yes.Eti mchengerwa ni mkwe wa ssh????
P
Yes.Eti mchengerwa ni mkwe wa ssh????
Ameupiga mwingi mpaka umetoka nje.
Kama SON IN LAW anajua, kwa nini asiwafanyie badala ya kusubiri k
Relax..Tunazungumzia uongozi huu, waliopita walifanya kwa utashi wao piaNilipo soma hapa nomekupuuza! Unatabia ya kujipendekeza.
Kwanza kila kiongozi lazima awe na aina yake ya uongozi kulingana na wakati anao ongoza!.
Hii kauli haifai kwa mtu uliyesoma na kuelima wakati unachambua mambo kwa upana.
Tanzania ipo na itaendelea kuwepo kama Nchi zingine. Bila kujali anatawala kiongozi wa aina gani.
Baba wa Rihana ni yupi kati ya hao majamaa
Naunga mkono hoja
P
Aise; kumbe huaga kuna WAZUNGU wana vitambi kama sisi tu yaani; wow, thanks very much for the picture
😂Tunachojua Mohamed O. Mchengerwa ni Mkwe hana jipya.
Tatizo kwenye filamu bado ni pana sana...hasa kuanzia kwenye elimu na utaalam ktk uandishi, uongozaji, utengenezaji etc bado saana!Nikusaidie kidogo, vifaa bila ubora wa mtu ni sawa na kulikimbilia bus lililokuacha.
Kwanza inatakiwa elimu, mafunzo nk, baadaye ndiyo sijui hiyo uliyosema studio, mfano diamond kwa sababu tayari ameweza kuivaa ofisi aliyopo now anarekodi popote anapotaka japo anayo studio na vijana walioshiba kwenye industry.
Kulikuwa na ile studio ya kisasa ya muziki ambayo serikali iliweka mkono wake, nadhani kupitia THT 'kama sijakosea' iko wapi na nini kinafanyika?
Kwahiyo mzee ulitaka iendelee kutengwa hivyo hivyo? Wewe na mimi tunajua kuwa sasa Tanzania inafungukaHivi mnavyosifia kuwa kaifungua Tanzania, kwani nani kaifunga ?! Chadema na Mbowe au
Kama Wasanii wataamua kutumia hii opportunity wanaweza fika mbali, waende shule, washirikishe Wataalaam kwenye sekta utofauti, etcTatizo kwenye filamu bado ni pana sana...hasa kuanzia kwenye elimu na utaalam ktk uandishi, uongozaji, utengenezaji etc bado saana!
Nimeuliza nani aliifunga?!Kwahiyo mzee ulitaka iendelee kutengwa hivyo hivyo? Wewe na mimi tunajua kuwa sasa Tanzania inafunguka