sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Jamaa anashoot video kali sana..nashangaa kuna kuna watu wanataka mfananisha na hanscana...
Mi kwa mwaka jana had mwaka huu bado travella nasema mkali..chupa zake jamaa sio mchezo.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Tafuta Niuwe ya Lavalava uone Hanscana alivyo noma.