Wasanii wa Tanzania msione aibu kumtumia Kenny wa Zoom Production ku-shoot video zenu, eti kwa kuwa kampuni inamilikwa na Diamond !

Naijua vizuri sana Zoom...Vyombo vyote hivyo Camera na vinginevyo Harmonize amepewa na mwanamke wake wa kizungu.

Kapewa pia vyombo vya band na studio ya muziki huyo Harmonize yupo vizuri sana.

Siyo kukremisha najua vizuri ninachosema.
Hivi huyu jamaa ni wa wapi wananzengo?
 
Dah... aisee! Basi kweli Diamond ni mzee wa kiki! Yaani kampuni ya Harmonize halafu Diamond anaitangazia dunia kwamba yeye ndie Founder & Managing Director wa Zoom Production Company huku Harmo mwenyewe kanyuti tu!!!

Kwahiyo Diamond kaajiriwa na Harmonize sio?! Manake Mondi keshawahi kuipigia promo Zoom lakini sijawahi kuona mmiliki Harmonize akiipigia Zoom promo!!

Maisha bhana; yaani kutoka kuwa muuza mitumba ya jero jero na kahawa hadi kumtuma mtu aliyekuwa bosi wako miaka 2 tu iliyopita!!!
Bado unalo lakusema juu ya madai yako?
 
Kenny naona ilikuwa nguvu ya Soda.

Ubunifu Umekwisha.

Siku hizi anashoot bora liende.

Video Kama Kainama Feat Ipupa kaacha Margin Nyeusi.

Yope Ndio Kabisaa, Low Quality.

Kiukweli kwa sasa Tanzania tuna washika Kamera tu.

Hanscana na Kwetu Studio Wameboresha Vifaa ila EDITING na UFUNDI bado hauna jipya.
Kenny ni mbaya as ulivyomsifia mwanzo.
Alafu kwa taarifa tu Kenny katoka mikononi mwa Hanscana na baba yao ndio Nisher bishoo
 
Bado unalo lakusema juu ya madai yako?
Hoja yako hasa ni ipi?! Btw, kuna kipi kipya kutoka kwenye hayo madai zaidi ya kampuni kubadili jina kutoka kuwa Zoom to Zoom-Extra?! Na hiyo Zoom-Extra ipo chini ya management ipi?! Unataka kusema ya Harmonize, au?!
 
Kumbe kuna kipi kipya kutoka kwenye hayo madai zaidi ya kampuni kubadili jina kutoka kuwa Zoom to Zoom-Extra?! Na hiyo Zoom-Extra ipo chini ya management ipi?! Unataka kusema ya Harmonize, au?!
Sijasema kokote kampuni hiyo ni ya Harmonize wewe ndiye uliyesema maneno yako haya hapa.

Yaani kampuni ya Harmonize halafu Diamond anaitangazia dunia kwamba yeye ndie Founder & Managing Director wa Zoom Production Company huku Harmo mwenyewe kanyuti tu!!!
Kampuni inaitwa Zoom Extra Production haijabadilishwa jina kilichobadilika ni rangi za logo.

Sasa tuambie Harmonize kama anaimiliki hiyo zoom iweje hamtumii Kenny kwenye video zake?
 
Sijasema kokote kampuni hiyo ni ya Harmonize wewe ndiye uliyesema maneno yako haya hapa.


Kampuni inaitwa Zoom Extra Production haijabadilishwa jina kilichobadilika ni rangi za logo.

Sasa tuambie Harmonize kama anaimiliki hiyo zoom iweje hamtumii Kenny kwenye video zake?
Basi itakuwa hukunielewa... nisome kwa vituo utaelewa nilmaanisha nini!!!
 
Back
Top Bottom