Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,402
- 79,643
Wamekazana kuandamana nyuma ya keyboard huku ID zao zikiwa withheld. Wanataka msanii ambae anajulikana apaze sauti kwa niaba yao. Msanii ni mwananchi wa kawaida kazi yake ni mziki,bongo movie Kama ambavyo kuna wakulima na wafanyabiashara.Yani Hawa jamaa, ukifikiria sana utagundua kuwa hawana tofauti na wale mbwa mwanaobweka huku mkia wameukunjia ndani ya miguu (mbwa koko)
Wanalalamika as if msanii alivyoanza harakati zake za usanii aliwaahidi kutetea haki zao