Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,649
- 26,090
Yaani unawaza wanaume kila saa, huoni aibu?Mme wako
Yaani unawaza wanaume kila saa, huoni aibu?Mme wako
Sugu alisnitch,kwa nini akubaliane na ruge kuhusu madai ya wasanii,yeye kama yeye bila kuongea na vinega????? Natumai haki itendeke katika kesi yake,lakini kwenye suala la clouds Sugu alisnitchSUGU hajaanza kudai maslahi ya wasanii leo. Usichanganye issue ya dili la malaria na harakati za SUGU. Jongwe kafanya TANZANIA HIPHOP SUMMIT kubwa pale Wet n Wild mwaka 2004, nani amewahi kufanya kitu kama hiko? issue ya malaria ni suala binafsi sana. Usichanganye.
Ilikuwa HIPHOP tu???? Au na miziki mingineSummit hiyo nakumbuka walikuja wasani mbalimbali toka nchi za Africa...
Sugu harakati Kaanza kitambo sana...
Ova
Suala la Sugu kuwa msanii si ticketi ya yeye kutetewa na wasanii wenzake kwa makosa anayoyafanya kwenye jukwaa la siasa. Kikubwa ni kumkumbusha Sugu kwamba kuna usemi unasema "Pambana na hali yako"