mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Ndio! Tunatambua "MNAOGOPA", sawa, lakini hata kusema SUGU anaonewa kwa kunyimwa dhamana pia mnashindwa hilo? Mnamtenga SUGU kwa sababu yupo CHADEMA? sio msanii mwenzenu tena? Kwamba kesho yenu ninyi mnaifahamu? Wasanii wa Tanzania, jitoeni huo upofu mliojivika arifuuu.
SUGU sio mbunge wa wasanii, sio mbunge wa viti maalum au kuteuliwa, amechaguliwa na watu wa Mbeya, The most voted MP, Unataka afanye kazi ya sanaa kuliko kazi yake maalum ya jimbo la Mbeya mjini? Unataka awatetee vipi? Ni waziri kivuli wizara ya habari, haujui application yake?
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, mmesahau kabisa harakati za SUGU kupigania muziki wenu usimame? SUGU yupo mahabusu siku kumi, wasanii mmepiga kimya, mahakamani hamtokei, Magereza hamfikii kumuona, mmeamua kumtumikia "kafiri?" Mmesahau alianzisha harakati za Kugoma kuimba bure?
mr mkiki.
SUGU sio mbunge wa wasanii, sio mbunge wa viti maalum au kuteuliwa, amechaguliwa na watu wa Mbeya, The most voted MP, Unataka afanye kazi ya sanaa kuliko kazi yake maalum ya jimbo la Mbeya mjini? Unataka awatetee vipi? Ni waziri kivuli wizara ya habari, haujui application yake?
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, mmesahau kabisa harakati za SUGU kupigania muziki wenu usimame? SUGU yupo mahabusu siku kumi, wasanii mmepiga kimya, mahakamani hamtokei, Magereza hamfikii kumuona, mmeamua kumtumikia "kafiri?" Mmesahau alianzisha harakati za Kugoma kuimba bure?
mr mkiki.