Hii siyo ya utani hii, peleka jukwaa husika!Sijapendezwa na tabia za wasanii wa bongo movie kabisa hasa wa kike. Nadhani watanzania wenzangu mtaungana na mimi kwa asilimia zote. Nawasihii wabadilike kwani kwa tabia zao hawatafika popote.
Unajua hili jukwaa huwa tunakuja kupunguzia stress, sasa unapokutana na kitu kama hiki lazima stress ziongezeke badala ya kupunguaBaba V,
WAHEED SUDAY na mwanaumee mbona mmemkata maini Contigo?
Mwenyewe kaja na gia zote,afu mnampiga STOP ya mwana Nikome.