Umri wa watu na maisha ya watu yanakuhusu nini?uhamiaji,vitambulisho vya taifa na sehemu mbali mbali tukikuta kitambulisha kina umri huu .basi acha tucheke.
huyu ezekieli au kuna wapili yake
View attachment 1990793
Umri wa watu na maisha ya watu yanakuhusu nini?
Kama umri ni ishu,basi jifanye wewe unamiaka 7!!!harafu uone kama Kuna kitu kitabadirika
Sasa kama miaka yake haiongezeki hata kama alizaliwa zamani yeye anakosa gani hapo.Uhamiaji, vitambulisho vya taifa na sehemu mbali mbali tukikuta kitambulisho kina umri huu, basi acha tucheke.
Huyu Ezekieli au kuna wa pili yake
View attachment 1990793
AISEE MI NACHOSHANGAA WEMA KACHUKUA UMISS NIKIWA SHULE YA MSINGI ILA KWA SASA NAMZIDI MIAKA