Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,319
JF bana, utakuta jitu linagombea remote na watoto kuangalia Futuhi na comedy za kibongo halafu humu linajifanya kuponda.
Nipimwe ili huo uchafu hapo chini unichekeshe? Mfyuuu!Itabidi ukapimwe Bandama.
Huu utani wako siupendi naona kama unanidhalilisha!Siku ya futuhi Alhamisi watoto wanatazama mie naondoka nyumbani na kutembelea grosari ya karibu kupata kinywaji na kurudi saa nne na nusu usiku.Kuna mtu mmoja kwenye futuhi nikimwona anavyovaa na kusikia sauti yake tu natapika!Huyu hapa chiniJF bana, utakuta jitu linagombea remote na watoto kuangalia Futuhi na comedy za kibongo halafu humu linajifanya kuponda.
Huu utani wako siupendi naona kama unanidhalilisha!Siku ya futuhi Alhamisi watoto wanatazama mie naondoka nyumbani na kutembelea grosari ya karibu kupata kinywaji na kurudi saa nne na nusu usiku.Kuna mtu mmoja kwenye futuhi nikimwona anavyovaa na kusikia sauti yake tu natapika!Huyu hapa chini
Mc pilipili hizo stand up comedy zake idea karibu 99% anachukuaga kule churchhill na kuziweka kwa kiswahili tu,hamna kitu pale.Sure unachosema lakin pia unakosea maana kuna watu m nawawelewa kama vile joti, kuna watu comedy yao ni kwny maneno na hyo ndo comedy za nchi nyingne. Mtu kama mpoki, mc pilipili kuna hawa jamaa Mambo na vijambo wako vema pia. Shughuli hawa wenzangu walobaki watumia nguvu nyingi
Mbona unahama? Ubishi wetu upo kwenye comedy si muda na saa za comedy.Sijui futuhi inaisha muda gani ila nahakikisha narudi muda futuhi imeisha na watoto wamelala. OK man?Kwani Futuhi inaisha saa nne na nusu?
Mbona unahama? Ubishi wetu upo kwenye comedy si muda na saa za comedy.Sijui futuhi inaisha muda gani ila nahakikisha narudi muda futuhi imeisha na watoto wamelala. OK man?
Asante producer na director wa futuhi. Na BAKORA ni wewe pia?Inaisha saa 5 kamili, ukirudi saa nne na nusu unaikuta.
JF bana, utakuta jitu linagombea remote na watoto kuangalia Futuhi na comedy za kibongo halafu humu linajifanya kuponda.
...au anadumbukia kwenye ndoo ya maji. Physical comedy inapendwa sana na wachekeshaji wa tanzania na wanajikuta wanachekesha zaidi watoto wadogo badala ya watu wazima!Au mtu anajifanya amesahau position ya mlango anakatia kona ukutani aafu ghafla anashtuka..dah bongo bhna
Upuuzi kwelikweli mkuu.Wasanii wengi wanafikiri kuchekesha ni kukunja sura na kutoa ulimi nje au kumkwida mtu shati na kumtishia kumdunda.Ujuha mtupu na huwa sitazami.Startv ndiyo inayoongoza kwa kufadhili comedy za kijinga.Juzijuzi hapa wameanza kuonesha ujinga fulani unaoitwa Bakora, eti ni comedy jamani!Natamani hata kuwashtaki kwa kutudanganya kwamba hiyo ni comedy.Comedy za Bongo bila kudundana hazija noga ,ni upuuzi mtupu tu.
kuna daliso chaponda alishika nafasi ya tatu British got talent mwaka huu 2017, anatoka malawi yupo vizuri piaUnazungumzia standup comedy mkuu! Kiboko ya standup comedy ni........... achana na hao matapeli wa nigeria....... kiboko ni Trevor Noah mkuu! Ulishamcheki huyu mtu lakini? Ni balaa kwenye standup comedy!
Bahati mbaya huyu Idrisa sijamsikia au kumwona popote akifanya comedy.Eti Idrisa ns yeye hua ni comedian,utani wa kiwango cha lami huu.