Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadhi ya ubunge ilipotea tokea pale aliposhinda Komba ubunge.
Hahahaha, kumbe professor J ni CCM naenda kufuta nyimbo zake kwenye computer yangu na kuchoma cd na kada zake zote. Huu ni mwendelezo wangu wa chuki kwa hawa wasafirisha pembe za ndovu.
Na heshima ilirudi baada ya Lusinde, Professor Maji marefu, Mwigulu kuingia bungeni na Makinda kuwa spika.sugu kafungua njia, kama yeye alipata basi hata afande sele atagombea. Heshima ya bunge ilipotea alipo ingia wenje,mdee na sugu.
Mkuu ni magamba aka CCMkwani huyo prof na mzee ni vyama gani?
Mzee Yusuph ni jina na la yule mwimbaji wa taarabu wa kundi la jahazi modern taarabu, sipati picha akiingia bungeni nadhani kuna siku atakuwa anatoa burudani ndani ya bunge
Hapo ndo ccm wamewaza mpaka mwisho wa kufikiri ndo wameona anafaa kuwa mbunge wao, lakini sishangai kwa sababu wamefanikiwa kuingiza mganga wa kienyeji sembuse huyu mwimbaji wa taarabuHatari taarab hadi ubunge?