nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Wakuu wa Fikra, heshima kwenu
Nime inasa hii katika pitapita zangu.Chanzo ni ufa wa mahusiano kati ya wafanya biashara ndogo ndogo(wamachinga) ambao ndiyo wapiga kura wengi na uongozi wa jiji la Mwanza umekuwa ukiongezeka kila kukicha na kufifisha matumaini ya kurirejesha jiji la Mwanza kuwa ngome ya ccm.
Kete ya kuchomeka mameya wa kichina imeonyesha kutokuzaa matunda kwani wakazi wengi jijini Mwanza wameonyesha hasira za wazi kama walivyokaririwa na badhi ya radio za jijini hapa.. na kuashiria kuwepo upigwaji wa kura za hasira tena dhidi ya ccm hapo 2015.
Mkakati uliopo sasa ni kutafuta watu wenye umaarufu wao binafsi na unaokubaliwa na jamii ili iwe rahisi kuwa nadi na wasanii hao ndiyo wanofikiriwa.mmoja atagombea Jimbo la Ilemela na mwingine Nyamagana.Yote hii nikuhakikisha jiji haliwi chini ya wabunge wa upinzani hasa cdm kama ilivyo kwa sasa.
Naendelea kufuatilia kwa karibu undani wa tetesi hizi, nitawajuzeni...ila chanzo changu kimedokeza kuwa baada ya sikuuku ya mwaka mpya 2013, watakuwa wakifanya show za mara kwa mara jijini Mwanza chini ya udhamini wa kigogo mmoja wa NEC-CCM(Jina kapuni kwanza)
Nawasilisha.
Nime inasa hii katika pitapita zangu.Chanzo ni ufa wa mahusiano kati ya wafanya biashara ndogo ndogo(wamachinga) ambao ndiyo wapiga kura wengi na uongozi wa jiji la Mwanza umekuwa ukiongezeka kila kukicha na kufifisha matumaini ya kurirejesha jiji la Mwanza kuwa ngome ya ccm.
Kete ya kuchomeka mameya wa kichina imeonyesha kutokuzaa matunda kwani wakazi wengi jijini Mwanza wameonyesha hasira za wazi kama walivyokaririwa na badhi ya radio za jijini hapa.. na kuashiria kuwepo upigwaji wa kura za hasira tena dhidi ya ccm hapo 2015.
Mkakati uliopo sasa ni kutafuta watu wenye umaarufu wao binafsi na unaokubaliwa na jamii ili iwe rahisi kuwa nadi na wasanii hao ndiyo wanofikiriwa.mmoja atagombea Jimbo la Ilemela na mwingine Nyamagana.Yote hii nikuhakikisha jiji haliwi chini ya wabunge wa upinzani hasa cdm kama ilivyo kwa sasa.
Naendelea kufuatilia kwa karibu undani wa tetesi hizi, nitawajuzeni...ila chanzo changu kimedokeza kuwa baada ya sikuuku ya mwaka mpya 2013, watakuwa wakifanya show za mara kwa mara jijini Mwanza chini ya udhamini wa kigogo mmoja wa NEC-CCM(Jina kapuni kwanza)
Nawasilisha.