real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Moureen David Njau alizaliwa tarehe 3/7/2010. Mpaka anafariki Dunia alikuwa ana miaka 7 tu. Hakika alikuwa bado mtoto mdogo kabisa.
Alikuwa na ndoto kubwa, pengine siku moja angeweza kuisaidia familia yake, pengine angeweza kuwa daktari akatutibu mimi na wewe, angeweza kuwa mwalimu akaielimisha jamii na Taifa letu la Tanzania.
Mimi na wewe tuwe walinzi, mimi na wewe tulinde na kusimamia amani kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa.
Chanzo: Clouds Fm
Alikuwa na ndoto kubwa, pengine siku moja angeweza kuisaidia familia yake, pengine angeweza kuwa daktari akatutibu mimi na wewe, angeweza kuwa mwalimu akaielimisha jamii na Taifa letu la Tanzania.
Mimi na wewe tuwe walinzi, mimi na wewe tulinde na kusimamia amani kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa.
Chanzo: Clouds Fm