ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,735
Maana sasa hivi hawa vijana wa Bongo Fleva wanaimba matusi matupu, hata aibu hawana madhara kwenye jamii yatazidi hasa kuporoma kwa maadili.
Big up kwa wasanii wa zamani Bob Rudala, Remmy Ongala na wengine wote ambao mmeutendea muziki haki yake. Shukrani sana.
Big up kwa wasanii wa zamani Bob Rudala, Remmy Ongala na wengine wote ambao mmeutendea muziki haki yake. Shukrani sana.