mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika Wasanii wetu wamekuwa kimya sana toka habari za kuugua kwa Msanii Hawa kutangazwa.Nimewataja wasanii wajitokeze kwa wingi ili watuongoze na watanzania wengine tumwokoe Binti huyo.Shime Wasanii msisubiri kwenda kutoa rambirambi tutoe michango yetu tuokoe maisha ya Msanii mwenzetu Bi.Hawa.