brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
Kibakuli hana wafuasi wengi anazidiwa hata na shilole na linaWee mbona kuna msanii simuoni hapo !!? Watu wake wakija utakoma.
Halafu haya mambo ya sosho netiweki yasi wasumbue sana, kila nchi ina mtandao unao pendwa zaidi. wabomgo mnatisha insta kwa sababu ndio wengi hutumia hivo
Kenya wao wako Twitter sana, ambayo wabongo hatuwezi ki ukweli.
So ni vema uandae ambaye ana kimbiza kote , twittwer, insta na fb
Ili tujue nani ana followers wengi hasa hasa.
Sio msanii huyoView attachment 402836
Mtoto wa Morocco huyu ndio msanii mwenyewe followers wengi insta.
Hatahivyo Hitler alikua na followers wengi kumzidi Yesu ila nadhani Unajua nani ni Bora.
Nyaahahahahahahaaaaaa!Kibakuli hana wafuasi wengi anazidiwa hata na shilole na lina
View attachment 402838huyu hapa kibakuli
Hahaaahaaa, tatizo una list yako mfukoni nenda YouTube search hilo jina au Morocco ipo Ulaya?Sio msanii huyo
Umemuumbua mleta thread,,nadhan kaangalia wasanii anaowafahamu yeye tu na sio msaada kutoka vyanzo vngineView attachment 402836
Mtoto wa Morocco huyu ndio msanii mwenyewe followers wengi insta.
Hatahivyo Hitler alikua na followers wengi kumzidi Yesu ila nadhani Unajua nani ni Bora.
Kwa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya nimegundua hawa ndio wasanii wenye followers wengi instagram
1avido
View attachment 402825
2iamond Platnumz
View attachment 402826
3:Wizkid
View attachment 402827
4:Tiwa Savage
View attachment 402828
5onjazzy
View attachment 402829
6:Shillole
View attachment 402830
7atoranking
View attachment 402831
8:V Money
View attachment 402833
9eter Okoye
View attachment 402834
10:Lina
View attachment 402835
Mtoa Mada na waandishi wengine Tz ni matomaso tu.Umemuumbua mleta thread,,nadhan kaangalia wasanii anaowafahamu yeye tu na sio msaada kutoka vyanzo vngine
Acha ubishi.Sio msanii huyo
Kaimba nyimbo gani inayojullikana? Kama msanii basi msanii uchwara niliowataja ndio hao hapo ndio wanaoongoza kama hutaki jikatae/sepaAcha ubishi.
Msanii uchwara anaweza pata view milioni 300 Youtube kwa wimbo aliutoa mwaka jana?Kaimba nyimbo gani inayojullikana? Kama msanii basi msanii uchwara niliowataja ndio hao hapo ndio wanaoongoza kama hutaki jikatae/sepa