kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,841
- 17,440
Wasanii muachege kutumika vibaya aisee.
Haswa nyie wachafu sijui wachafu wa nafsi na team yenu.
Yaani mnapewa pesa na maagizo ya watu fulani fulani hivi mtengeneze kiki ili mutoe watu kwenye reli ya kujadili report ya CAG kwa manufaa ya kikundi fulani hii haikubaliki.
Nyie wasanii ndo maana mnafika mahali mnafilisika maana mnatumiwa vibaya sana.
Yaani unaambiwa mfufue kiki kwa maagizo ya mtu fulani ili tu mtoe watu kwenye reli ya mjadala wa ripoti ya CAG kisa mnamdefend mtu fulani hivi.
Mnamlinda huyo swahiba wenu kisa katajwa kwenye repoti.
Nachokiandika nakijua na aliyewapa pesa anajulikana kwa jina la code #njeyabox
Kuna baadhi ya wasanii wamegeuka mawakala wa kuzima mambo nchini hawajui ni jinsi gani haya mambo yanaliumiza taifa.
Inaudhi mno.
Haswa nyie wachafu sijui wachafu wa nafsi na team yenu.
Yaani mnapewa pesa na maagizo ya watu fulani fulani hivi mtengeneze kiki ili mutoe watu kwenye reli ya kujadili report ya CAG kwa manufaa ya kikundi fulani hii haikubaliki.
Nyie wasanii ndo maana mnafika mahali mnafilisika maana mnatumiwa vibaya sana.
Yaani unaambiwa mfufue kiki kwa maagizo ya mtu fulani ili tu mtoe watu kwenye reli ya mjadala wa ripoti ya CAG kisa mnamdefend mtu fulani hivi.
Mnamlinda huyo swahiba wenu kisa katajwa kwenye repoti.
Nachokiandika nakijua na aliyewapa pesa anajulikana kwa jina la code #njeyabox
Kuna baadhi ya wasanii wamegeuka mawakala wa kuzima mambo nchini hawajui ni jinsi gani haya mambo yanaliumiza taifa.
Inaudhi mno.