Sie watu wa mwambao tafsiri ya "kuwashughulikia" ni mzito kidogo! God forbid isiwe hiyo tafsiri tunayoifahamu sisi.
sote tunachanganyikiwa kwa hila za mh MBOWE na Dr Slaa kupitia kwa Lema,Lissu na John mnyika,jamani tuamke hizi siasa za kuchafuana mwisho wake si Zitto bali ni CDM,Vijana tulione hili