juzi hadi Jana zilikiwa zinazagaa taarifa kuwa mhandisi wa manispaa ya songea kawekwa ndani na mkuu wa mkuo wa ruvuma kisa ni chambers za maji taka kuonekana juu katikati ya barabara ya mtaa sovi-mabatini,huenda uamzi wa mkuu wa mkoa ulikuwa sahihi lakini kwanini hili lifanyike Jana?
Hii barabara ilianza kujengwa na kampuni ya wachina toka 2017 na hizi chambers zilionekana toka kipindi hicho,mfano zipo chamber mbili mbele ya pappaya lodge kwenye barabara hii ya sovi mabatini,pia kuna chamber moja iko kwny diversion ya kuingia manzese Sokoni,ukiachana na hii barabara ya huu mtaa,njoo barabara ya majengo ukitokea lamoly pub kuelekea majengo mitumbani,mkabala na greenbelt lodge kuna chamber barabarani,inamaana viongozi wa mkoa walikuwa hawajaikagua hii barabara toka 2017,au baada ya iringa waziri mkuu atafanya ziara ruvuma????
Nawaza tuu,,,,,,,,,,,,,matukio haya ya viongozi kujihami wayafanye kwa namna ambayo haiwaumizi watendaji wa chini yao,kama ni uwajibikaji wahusike wote maana mkuu wa mkoa alijua kuwa hizi chambers zipo hata kabla barabara hawajakabidhiwa,ila engineer na wewe ulienda chuoni kusomea uhandisi gani hadi uruhusu hili kwny eneo lako la kazi?????
Hii barabara ilianza kujengwa na kampuni ya wachina toka 2017 na hizi chambers zilionekana toka kipindi hicho,mfano zipo chamber mbili mbele ya pappaya lodge kwenye barabara hii ya sovi mabatini,pia kuna chamber moja iko kwny diversion ya kuingia manzese Sokoni,ukiachana na hii barabara ya huu mtaa,njoo barabara ya majengo ukitokea lamoly pub kuelekea majengo mitumbani,mkabala na greenbelt lodge kuna chamber barabarani,inamaana viongozi wa mkoa walikuwa hawajaikagua hii barabara toka 2017,au baada ya iringa waziri mkuu atafanya ziara ruvuma????
Nawaza tuu,,,,,,,,,,,,,matukio haya ya viongozi kujihami wayafanye kwa namna ambayo haiwaumizi watendaji wa chini yao,kama ni uwajibikaji wahusike wote maana mkuu wa mkoa alijua kuwa hizi chambers zipo hata kabla barabara hawajakabidhiwa,ila engineer na wewe ulienda chuoni kusomea uhandisi gani hadi uruhusu hili kwny eneo lako la kazi?????