MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Wanawaza posho tu na safari ya marekani. Sijui kama watakuelewa. Washauri wenyewe ndio hao akina ziro na kabundi
UN iko wapi ?Rais Samia hafanyi ziara Marekani na ndilo taarifa ya ikulu haikulisema, taarifa imesema wazi Rais anakwenda UN, na kama angejuwa na ziara baada ya kuhudhuria kikao taarifa ingesema baada ya UN atafanya ziara Marekani, tujifunze kujua mambo badala ya kubishana kama Simba na Yanga.
Rais ameenda US kwa ziara ya kikazi(work visit) UN hajaenda kwa ziara ya kiserikali(state visit) atamaliza mkutano wake atakutana na wadau kadhaa wa maendeleo atarudi TZ..UN iko wapi ?
Kwamba hataulizwa chochote kuhusu ujinga wa Tanzania ?Rais ameenda US kwa ziara ya kikazi(work visit) UN hajaenda kwa ziara ya kiserikali(state visit) atamaliza mkutano wake atakutana na wadau kadhaa wa maendeleo atarudi TZ..
Njaaa ilimshika na akaaminishwa Wasukuma watatawala kwa muda mrefu. Lakini Mungu anatuwazia mema Watanzania. Yeye mwenyewe akaingilia kati na leo tuko huruTangu ufikirie kwamba bashite anafaa kuwa Rais ajaye baada ya magufuri nilijua haupo sawa kichwani
vipi aliulizwa au tusubiri ziara nyingine tuanze tena kupiga ramli?Kwamba hataulizwa chochote kuhusu ujinga wa Tanzania ?
UONGO HUO HUYO MUHUNI TU
Hii ndiyo Taarifa ambayo wanaomsaidia Chifu Hangaya wanapaswa kufahamu, Jambo kubwa atakaloulizwa huko Marekani anakoenda ni kuhusu kuuawa kwa Demokrasia nchini Tanzania na Kesi ya uongo ya Ugaidi wa uongo dhidi ya Bingwa wa siasa za Tanzania , Freeman Mbowe .
Balozi wa Marekani nchini Tanzania anafahamu uchafu wote uliofanyika tangu uchaguzi wa serikali za mitaa, hadi uchaguzi Mkuu , na anafahamu njama zote dhidi ya Mbowe na Chadema na taarifa zote kuhusu uchafu huu zimo ndani ya Ikulu ya Marekani na kwenye ofisi za UN.
Hakuna Dikteta aliyeingia Marekani akatoka salama .
Msije kusema hatukuwaambia