Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Upo sahihi kabisaHuu ni uongo wa wanasiasa. Zipo nchi zina rasilimali nyingi sana mara milioni kuzidi sisi. Changamoto tumekosa rasilimali ya AKILI ya kutumia kidogo tulichonacho.
Upo sahihi kabisaHuu ni uongo wa wanasiasa. Zipo nchi zina rasilimali nyingi sana mara milioni kuzidi sisi. Changamoto tumekosa rasilimali ya AKILI ya kutumia kidogo tulichonacho.
Maswali yalitungwa na MsingwaLabda wameite huyo SK wa BBC warudie upya! Maji yakimwagika hayazoleki.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
True... vp is a president on waiting! Haitakiwi kuwa suala la ushabiki hata kidogo kwenye kumpata mtu wa kukalia hicho kiti! Nireteeeni gwajiboy! Nireteeeeeeeni gwajiboy! Nireteeeeeeeeeeeeeeeeeni gwajiboy! Inaonesha jinsi busara na hekima ilivyokosekana kwenye mambo mengi; as a result ndicho kinachoonekana leo.
"Rais huwa hakosei" Samia S H, 2017...Rais au wasaidizi wanapaswa kuomba radhi.
..Nina hakika SSH atajizolea sifa kemkem za uungwana.
Kulikuwa na mapungufu gani ambayo wewe uliyaona?Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.
Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.
Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?
Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.
cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
Nakuomba urekebishe kwanza jina lake ni Salim siyo Salum...kasikilize interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Mimi sielewi kwa nini kimeachiwa chama chake kumtetea wakati alihojiwa kama Rais wa Tanzania. Walitakiwa wasaidizi wake ambao ni watumishi wa umma ndio watoe ufafanuzi. Hiyo ni kazi ya msemaji wa Ikulu na sio Katibu Mwenezi wa CCM.Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.
Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.
Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?
Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.
cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla, Sesten Zakazaka
Huyu katoka mbali sana na anaenda mbali sana .Huyu ana uungwana gani?👇Umechanganyikiwa na kuwehuka kama yeye?!
View attachment 1887505
Tatizo kubwa sio washauri wake, tuna tatizo kubwa sana kwenye idara yetu ya usalama wa taifa, TISS walitakiwa wasiruhusu hii interview iruke hewani maana jukumu lao la kwanza ni kulinda image ya rais kwa hiyo tuna tatizo kubwa kwenye idara yetu ya usalama wa taifaHakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.
Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.
Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?
Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.
cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla, Sesten Zakazaka
Tatizo sio mpango au majaliwa, tatizo kubwa kwenye taifa letu ni idara yetu ya usalama wa taifa wanatakiwa wamshauri rais na kulinda heshima ya rais ila DGIS aliyepo naye ni mbumbunbu kichwani Samia anatakiwa amtoe diwani haraka sanaMbaya Zaid kazingukwa na majaliwa na Mpango ambao wote hawa uwezo mdogo
To apologiseToo late!
Hahaha tena ungepata gazeti lililofungiwa ungeona mengiNasikia amesema kuwa Wananchi tumeridhia makato ya Miamala? hivi yupo makini kweli huyo Mrembuaji?
Walivyo vilaza wanachofanya ni kuhalalalisha hayo makosa badala ya kuyarekebisha. Tuna ombwe kubwa sana la uongozi wa juu katika Taifa letu.Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.
Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.
Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.
Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?
Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.
cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla, Sesten Zakazaka
Badala yake anazidi kupandisha mabega..It is never too late to apologize.
..Naamini Raisi akiomba RADHI atajizolea sifa lukuki.