Wasaidizi wa Rais Magufuli tafadhali jitahidini kumweleza kipi cha kusema na cha kutokisema kwani anajichanganya mno!

Kama kuna Kitu ambacho hadi leo kinanisikitisha ni tabia ya Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli hasa Kitengo chake cha Mawasiliano na Propaganda Kutomsimamia vyema Bosi wao kiasi kwamba kuna muda huwa anasema Kauli ambazo Kimsingi huwa ‘ zinamfunga ‘ kama siyo hata ‘ kumhusu ‘ Yeye Mwenyewe kisha anabaki tu kutupa taabu wana CCM katika Kumtetea au Kuzijibu Hoja kutoka kwa ‘ Wakosoaji ‘ wake hasa hasa ( Wapinzani ) ambao kwa bahati mbaya wengi Wao ‘ wamebarikiwa ‘ sana Uwezo mkubwa wa Akili / Kufikiri.

Nina mifano mingi ya tabia yake ya ‘ Kukengeuka ‘ Kimawasiliano ila hii aliyoitoa leo ama hakika imenishtua na kunishangaza mno hadi nawaza labda alijisahau tu au pengine hapati muda mrefu wa Kupumzika na badala yake analazimisha kufanya Kazi kisha anajichosha hadi anachosha pia na Akili zake hasa upande wake wa Kumbukumbu.

Hivi unapowasema Mawakala wa Barabara nchini ( TANIRODI ) kuwa ‘ wanafuja ‘ Pesa za Serikali na kwamba sijui ndani ya Miaka Kumi ( 10 ) wanapanga / wanakodi tu Majengo huku unajua kabisa kuwa Wewe Wewe ambaye leo hii ‘ unawachamba ‘ hivyo ndani ya miaka Mitano ( 5 ) kati ya hiyo Kumi ( 10 ) ulikuwa ndiyo Bosi Wao Mkuu wa Kiserikali ( Waziri ) husika hapa unataka Watanzania tukueleweje labda au unataka Kutuaminisha nini?

Ombi langu Kwenu Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais hebu jitahidi muwe mnamuandikia Hotuba zake zote na muwe mnamlazimisha awe anazisoma hizo hizo na siyo awe ‘ anabwatuka ‘ tu kutoka Kichwani kwani huwa anakuwa anatoa ‘ Maboko / Makosa ‘ mengi ambayo huwa yanamfanya aonekane ‘ Kituko ‘ na hata ‘ Kudharaulika ‘ na wenye Akili ambao kwa bahati mbaya ni wengi nchini Tanzania pengine kuliko hata hao wanaomzunguka 24/7 hapo Ikulu / Serikalini.

Halafu siyo lazima Ziara zote awe anazifanya Yeye tu anaweza zingine akawaachia Wasaidizi wake Kiuongozi akina Mama Samia na Mwalimu Majaliwa ili apunguze mzigo mkubwa wa Kimajukumu unaomkabili. Na si lazima awe anafululiza Kufanya Ziara zake katika Mikoa mingi ndani ya muda mfupi kwani kwa Mtazamo wangu nahisi kuwa Ratiba zake nyingi pia huchangia ‘ Kumchosha ‘ na hatimaye hata katika Hotuba zake nyingi huwa ‘ anaharibu ‘ kwa kutoa hayo ‘ Maboko ‘ yake huku pia akiwa anayarudia maneno yale yale tu hali ambayo huwa ‘ inawaboa ‘ pia wanaomsikiliza.

Mlio nae karibu lifanyieni Kazi hili tafadhalini kwani Rais Dkt. Magufuli binafsi namkubali kupita Maelezo hasa kwa ‘ Utendaji ‘ wake uliojaa ‘ Uthubutu ‘ mwingi na pia ni Kiongozi ambaye anaonyesha ana ‘ Uchungu ‘ sana na Maendeleo ya Watanzania na Tanzania kama nchi ila nahisi ama Wasaidizi wake wanamuogopa au Yeye mwenyewe nae ni ‘ Mbishi ‘ hali inayopelekea hao Wasaidizi wake ‘ Kumpigisha Shoti ‘ kwa Makusudi ili akosee na aonekane hana jipya na hafai.

Kwa leo langu ni hili tu Kwenu.
mkuu.... je, wewe ni binamu yake na yule GENTAMYCIN nini?
 
Mtoa mada ambacho hujakigundua ni kwamba, kati ya hiyo miaka 10 uliyoigundua; Miaka 5 ya mwanzo, mzee alikuwa kwenye kundi hatari la mashetani kama wenzake!

Na kwenye ile miaka 5 ya mwisho (mpaka muda huu tunaongea), alibadilika ghafla kwa nguvu za kimiujiza, kutoka kwenye lile kundi la mashetani na kugeuka kuwa Malaika mtakatifu na asiye na dhambi.

Yeye sasa ni wa kuabudiwa tu na kutukuzwa! Hivyo ana haki zote za kuwakosoa wale mashetani aliowaacha miaka ile 5 ya mwanzo kati ya hiyo 10.
 
Kwa hilo nakupinga
Hotuba sio Ngonjera
Trump anatumia Twitter na ulimwengu umemwelewa
acha awatumbulie hapohapo Jukwaani
kwa style hiyo inatufanya tusogee kwenye Luninga
sio km zile Hotuba za zamani za J Makamba wapinzani milikuwa mnazipata mapema mnarushiana kwenye mitandao
Kabla haijasomwa mnaanza kutoka Ukumbini
MBONA SASA HATUSIKII DHAIFU
 
Hujaelewa. Ye amewaambia tanroads kwa sasa hawana sababu ya kupanga sababu majengo mengi ya serikali yana nafasi baada ya serikali kuhamia dodoma. Yawezekana kipindi ye alipokuwa waziri haikuwepo hiyo nafasi pia hakuwa na meno kama aliyonayo sasa ya kuzuia 10%
 
Mwacheni aongee. Mnataka kumtengenezea ili asiweze kusema ya kwake ya rohoni? Mwacheni aropoke analojisikia na sisi tupate kunufaika na huo umbea wake
 
Mi namuelewa,haya maisha ya unafiki kufichaficha yameifikisha nchi pabaya,mi sikumchagua lakin namuelewa aisee,amethubutu kuwanyooshea kidole mtu yeyote bila yoga,kongole mh mag

Hujui unaloongea au una uwezo mdogo wa kuelewa mambo, ripoti ya makinikia iliwataja akina Chenge, Yona, Karamagi nk, na akaagiza wakamatwe, je amewahi kuthubutu kutekeleza hilo? Suala la escrow ndio liliwaweka kina Regemalila ndani, je chain ya watu wa serikalini mbona hajawagusa? Anaweza kuwanyooshea vidole vidagaa na wale alio na visasi nao tu. Kinyume na hapo ni mcheza siasa za karne iliyopita.
 
Kipindi cha kutengenezewa hotuba na kikundi cha mafisadi kimeshapita, saivi ni kipindi cha kuelezana wazi tu juu ya uozo uliokuwepo, na ni muhimu uhubiriwe kila siku ili watu waelimike.
baki na ujinga wako. raisi wa nchi haropokiropoki tu. ivi unajua impacts za kiuchumi na kijamii tunazopata kwa kuhamia dodoma wewe mbwiga?
 
Kama kuna Kitu ambacho hadi leo kinanisikitisha ni tabia ya Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli hasa Kitengo chake cha Mawasiliano na Propaganda Kutomsimamia vyema Bosi wao kiasi kwamba kuna muda huwa anasema Kauli ambazo Kimsingi huwa ‘ zinamfunga ‘ kama siyo hata ‘ kumhusu ‘ Yeye Mwenyewe kisha anabaki tu kutupa taabu wana CCM katika Kumtetea au Kuzijibu Hoja kutoka kwa ‘ Wakosoaji ‘ wake hasa hasa ( Wapinzani ) ambao kwa bahati mbaya wengi Wao ‘ wamebarikiwa ‘ sana Uwezo mkubwa wa Akili / Kufikiri.

Nina mifano mingi ya tabia yake ya ‘ Kukengeuka ‘ Kimawasiliano ila hii aliyoitoa leo ama hakika imenishtua na kunishangaza mno hadi nawaza labda alijisahau tu au pengine hapati muda mrefu wa Kupumzika na badala yake analazimisha kufanya Kazi kisha anajichosha hadi anachosha pia na Akili zake hasa upande wake wa Kumbukumbu.

Hivi unapowasema Mawakala wa Barabara nchini ( TANIRODI ) kuwa ‘ wanafuja ‘ Pesa za Serikali na kwamba sijui ndani ya Miaka Kumi ( 10 ) wanapanga / wanakodi tu Majengo huku unajua kabisa kuwa Wewe Wewe ambaye leo hii ‘ unawachamba ‘ hivyo ndani ya miaka Mitano ( 5 ) kati ya hiyo Kumi ( 10 ) ulikuwa ndiyo Bosi Wao Mkuu wa Kiserikali ( Waziri ) husika hapa unataka Watanzania tukueleweje labda au unataka Kutuaminisha nini?

Ombi langu Kwenu Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais hebu jitahidi muwe mnamuandikia Hotuba zake zote na muwe mnamlazimisha awe anazisoma hizo hizo na siyo awe ‘ anabwatuka ‘ tu kutoka Kichwani kwani huwa anakuwa anatoa ‘ Maboko / Makosa ‘ mengi ambayo huwa yanamfanya aonekane ‘ Kituko ‘ na hata ‘ Kudharaulika ‘ na wenye Akili ambao kwa bahati mbaya ni wengi nchini Tanzania pengine kuliko hata hao wanaomzunguka 24/7 hapo Ikulu / Serikalini.

Halafu siyo lazima Ziara zote awe anazifanya Yeye tu anaweza zingine akawaachia Wasaidizi wake Kiuongozi akina Mama Samia na Mwalimu Majaliwa ili apunguze mzigo mkubwa wa Kimajukumu unaomkabili. Na si lazima awe anafululiza Kufanya Ziara zake katika Mikoa mingi ndani ya muda mfupi kwani kwa Mtazamo wangu nahisi kuwa Ratiba zake nyingi pia huchangia ‘ Kumchosha ‘ na hatimaye hata katika Hotuba zake nyingi huwa ‘ anaharibu ‘ kwa kutoa hayo ‘ Maboko ‘ yake huku pia akiwa anayarudia maneno yale yale tu hali ambayo huwa ‘ inawaboa ‘ pia wanaomsikiliza.

Mlio nae karibu lifanyieni Kazi hili tafadhalini kwani Rais Dkt. Magufuli binafsi namkubali kupita Maelezo hasa kwa ‘ Utendaji ‘ wake uliojaa ‘ Uthubutu ‘ mwingi na pia ni Kiongozi ambaye anaonyesha ana ‘ Uchungu ‘ sana na Maendeleo ya Watanzania na Tanzania kama nchi ila nahisi ama Wasaidizi wake wanamuogopa au Yeye mwenyewe nae ni ‘ Mbishi ‘ hali inayopelekea hao Wasaidizi wake ‘ Kumpigisha Shoti ‘ kwa Makusudi ili akosee na aonekane hana jipya na hafai.

Kwa leo langu ni hili tu Kwenu.
Wamsaidie pia aache kusema Uongo
 
Mimi ni Kada Ndakindaki wa chama na shabiki wa Magufuli wa kufa ,kasoro ulizoziahinisha ni Sawa japo ni chache,Mfano:::Ulipofika hapa kwetu lahela uliamuru walioachiwa na mahakama Kwa dhamana wakamatwe. Je watapelekwa Polisi Kwa mashitaka mapya? Au GEREZANI kutokea uraiani? Napata shida shida Sana, Mbona umeingilia uhuru wa mahakama mkuu? Tulia baba Sisi wapiga kura tunakupitisha Kwa kura Za kutosha
 
Magufuli "Mendeleo hayana chama" huyohuyo "Kamuulize diwani au mbunge wako kuhusu maji siku nyingine mjifunze"🏃🏃🏃🏃
 
Kama kuna Kitu ambacho hadi leo kinanisikitisha ni tabia ya Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli hasa Kitengo chake cha Mawasiliano na Propaganda Kutomsimamia vyema Bosi wao kiasi kwamba kuna muda huwa anasema Kauli ambazo Kimsingi huwa ‘ zinamfunga ‘ kama siyo hata ‘ kumhusu ‘ Yeye Mwenyewe kisha anabaki tu kutupa taabu wana CCM katika Kumtetea au Kuzijibu Hoja kutoka kwa ‘ Wakosoaji ‘ wake hasa hasa ( Wapinzani ) ambao kwa bahati mbaya wengi Wao ‘ wamebarikiwa ‘ sana Uwezo mkubwa wa Akili / Kufikiri.

Nina mifano mingi ya tabia yake ya ‘ Kukengeuka ‘ Kimawasiliano ila hii aliyoitoa leo ama hakika imenishtua na kunishangaza mno hadi nawaza labda alijisahau tu au pengine hapati muda mrefu wa Kupumzika na badala yake analazimisha kufanya Kazi kisha anajichosha hadi anachosha pia na Akili zake hasa upande wake wa Kumbukumbu.

Hivi unapowasema Mawakala wa Barabara nchini ( TANIRODI ) kuwa ‘ wanafuja ‘ Pesa za Serikali na kwamba sijui ndani ya Miaka Kumi ( 10 ) wanapanga / wanakodi tu Majengo huku unajua kabisa kuwa Wewe Wewe ambaye leo hii ‘ unawachamba ‘ hivyo ndani ya miaka Mitano ( 5 ) kati ya hiyo Kumi ( 10 ) ulikuwa ndiyo Bosi Wao Mkuu wa Kiserikali ( Waziri ) husika hapa unataka Watanzania tukueleweje labda au unataka Kutuaminisha nini?

Ombi langu Kwenu Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais hebu jitahidi muwe mnamuandikia Hotuba zake zote na muwe mnamlazimisha awe anazisoma hizo hizo na siyo awe ‘ anabwatuka ‘ tu kutoka Kichwani kwani huwa anakuwa anatoa ‘ Maboko / Makosa ‘ mengi ambayo huwa yanamfanya aonekane ‘ Kituko ‘ na hata ‘ Kudharaulika ‘ na wenye Akili ambao kwa bahati mbaya ni wengi nchini Tanzania pengine kuliko hata hao wanaomzunguka 24/7 hapo Ikulu / Serikalini.

Halafu siyo lazima Ziara zote awe anazifanya Yeye tu anaweza zingine akawaachia Wasaidizi wake Kiuongozi akina Mama Samia na Mwalimu Majaliwa ili apunguze mzigo mkubwa wa Kimajukumu unaomkabili. Na si lazima awe anafululiza Kufanya Ziara zake katika Mikoa mingi ndani ya muda mfupi kwani kwa Mtazamo wangu nahisi kuwa Ratiba zake nyingi pia huchangia ‘ Kumchosha ‘ na hatimaye hata katika Hotuba zake nyingi huwa ‘ anaharibu ‘ kwa kutoa hayo ‘ Maboko ‘ yake huku pia akiwa anayarudia maneno yale yale tu hali ambayo huwa ‘ inawaboa ‘ pia wanaomsikiliza.

Mlio nae karibu lifanyieni Kazi hili tafadhalini kwani Rais Dkt. Magufuli binafsi namkubali kupita Maelezo hasa kwa ‘ Utendaji ‘ wake uliojaa ‘ Uthubutu ‘ mwingi na pia ni Kiongozi ambaye anaonyesha ana ‘ Uchungu ‘ sana na Maendeleo ya Watanzania na Tanzania kama nchi ila nahisi ama Wasaidizi wake wanamuogopa au Yeye mwenyewe nae ni ‘ Mbishi ‘ hali inayopelekea hao Wasaidizi wake ‘ Kumpigisha Shoti ‘ kwa Makusudi ili akosee na aonekane hana jipya na hafai.

Kwa leo langu ni hili tu Kwenu.
Rais hana huo unafiki, unataka anyamazie uozo wa TANROAD kwakuwa tu alikuwa boss wenu?. Anayajua madudu ya TANROAD tangia akiwa huko, kwa sasa acha aisafishe.
 
Ni rais mzuri, lakini wakati mwingine ana lugha za kukera utafikri siyo kiongozi hasa kwa maeneo yale yanayoongozwa na wapinzani, anaongea umoja wa kitaifa lakini kwa maneno yake mwenyewe yeye ndiye anayesambaratisha umoja wa Taifa,na maneno yake ya kukera na kuudhi.

Na hiki ndicho kinacho wafanya wapinzani wakache mikutano yake kwa kuwa hakuna kitu cha maana zaidi ya kutolewa lugha za maudhi.

Hata misaada yake katika maeneo yanayoongozwa na wapinzani anaitoa kwa masimango utafikri waliochagua wapinzani siyo watanzania na hawana haki ya kupewa msaada na serekali yake.

Misaada yake ni ya manyanyaso hata wale wanaoomba kusaidiwa,nafuu wangekuwa wanakaa kimyaa wakabaki na heshima yao kuliko kusaidiwa kwa kudhalilishwa.
 
Kama kuna Kitu ambacho hadi leo kinanisikitisha ni tabia ya Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli hasa Kitengo chake cha Mawasiliano na Propaganda Kutomsimamia vyema Bosi wao kiasi kwamba kuna muda huwa anasema Kauli ambazo Kimsingi huwa ‘ zinamfunga ‘ kama siyo hata ‘ kumhusu ‘ Yeye Mwenyewe kisha anabaki tu kutupa taabu wana CCM katika Kumtetea au Kuzijibu Hoja kutoka kwa ‘ Wakosoaji ‘ wake hasa hasa ( Wapinzani ) ambao kwa bahati mbaya wengi Wao ‘ wamebarikiwa ‘ sana Uwezo mkubwa wa Akili / Kufikiri.

Nina mifano mingi ya tabia yake ya ‘ Kukengeuka ‘ Kimawasiliano ila hii aliyoitoa leo ama hakika imenishtua na kunishangaza mno hadi nawaza labda alijisahau tu au pengine hapati muda mrefu wa Kupumzika na badala yake analazimisha kufanya Kazi kisha anajichosha hadi anachosha pia na Akili zake hasa upande wake wa Kumbukumbu.

Hivi unapowasema Mawakala wa Barabara nchini ( TANIRODI ) kuwa ‘ wanafuja ‘ Pesa za Serikali na kwamba sijui ndani ya Miaka Kumi ( 10 ) wanapanga / wanakodi tu Majengo huku unajua kabisa kuwa Wewe Wewe ambaye leo hii ‘ unawachamba ‘ hivyo ndani ya miaka Mitano ( 5 ) kati ya hiyo Kumi ( 10 ) ulikuwa ndiyo Bosi Wao Mkuu wa Kiserikali ( Waziri ) husika hapa unataka Watanzania tukueleweje labda au unataka Kutuaminisha nini?

Ombi langu Kwenu Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais hebu jitahidi muwe mnamuandikia Hotuba zake zote na muwe mnamlazimisha awe anazisoma hizo hizo na siyo awe ‘ anabwatuka ‘ tu kutoka Kichwani kwani huwa anakuwa anatoa ‘ Maboko / Makosa ‘ mengi ambayo huwa yanamfanya aonekane ‘ Kituko ‘ na hata ‘ Kudharaulika ‘ na wenye Akili ambao kwa bahati mbaya ni wengi nchini Tanzania pengine kuliko hata hao wanaomzunguka 24/7 hapo Ikulu / Serikalini.

Halafu siyo lazima Ziara zote awe anazifanya Yeye tu anaweza zingine akawaachia Wasaidizi wake Kiuongozi akina Mama Samia na Mwalimu Majaliwa ili apunguze mzigo mkubwa wa Kimajukumu unaomkabili. Na si lazima awe anafululiza Kufanya Ziara zake katika Mikoa mingi ndani ya muda mfupi kwani kwa Mtazamo wangu nahisi kuwa Ratiba zake nyingi pia huchangia ‘ Kumchosha ‘ na hatimaye hata katika Hotuba zake nyingi huwa ‘ anaharibu ‘ kwa kutoa hayo ‘ Maboko ‘ yake huku pia akiwa anayarudia maneno yale yale tu hali ambayo huwa ‘ inawaboa ‘ pia wanaomsikiliza.

Mlio nae karibu lifanyieni Kazi hili tafadhalini kwani Rais Dkt. Magufuli binafsi namkubali kupita Maelezo hasa kwa ‘ Utendaji ‘ wake uliojaa ‘ Uthubutu ‘ mwingi na pia ni Kiongozi ambaye anaonyesha ana ‘ Uchungu ‘ sana na Maendeleo ya Watanzania na Tanzania kama nchi ila nahisi ama Wasaidizi wake wanamuogopa au Yeye mwenyewe nae ni ‘ Mbishi ‘ hali inayopelekea hao Wasaidizi wake ‘ Kumpigisha Shoti ‘ kwa Makusudi ili akosee na aonekane hana jipya na hafai.

Kwa leo langu ni hili tu Kwenu.
Umeshamaliza kutambaliza kunako unyabeni?
 
Kama kuna Kitu ambacho hadi leo kinanisikitisha ni tabia ya Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli hasa Kitengo chake cha Mawasiliano na Propaganda Kutomsimamia vyema Bosi wao kiasi kwamba kuna muda huwa anasema Kauli ambazo Kimsingi huwa ‘ zinamfunga ‘ kama siyo hata ‘ kumhusu ‘ Yeye Mwenyewe kisha anabaki tu kutupa taabu wana CCM katika Kumtetea au Kuzijibu Hoja kutoka kwa ‘ Wakosoaji ‘ wake hasa hasa ( Wapinzani ) ambao kwa bahati mbaya wengi Wao ‘ wamebarikiwa ‘ sana Uwezo mkubwa wa Akili / Kufikiri.

Nina mifano mingi ya tabia yake ya ‘ Kukengeuka ‘ Kimawasiliano ila hii aliyoitoa leo ama hakika imenishtua na kunishangaza mno hadi nawaza labda alijisahau tu au pengine hapati muda mrefu wa Kupumzika na badala yake analazimisha kufanya Kazi kisha anajichosha hadi anachosha pia na Akili zake hasa upande wake wa Kumbukumbu.

Hivi unapowasema Mawakala wa Barabara nchini ( TANIRODI ) kuwa ‘ wanafuja ‘ Pesa za Serikali na kwamba sijui ndani ya Miaka Kumi ( 10 ) wanapanga / wanakodi tu Majengo huku unajua kabisa kuwa Wewe Wewe ambaye leo hii ‘ unawachamba ‘ hivyo ndani ya miaka Mitano ( 5 ) kati ya hiyo Kumi ( 10 ) ulikuwa ndiyo Bosi Wao Mkuu wa Kiserikali ( Waziri ) husika hapa unataka Watanzania tukueleweje labda au unataka Kutuaminisha nini?

Ombi langu Kwenu Wasaidizi wa Mheshimiwa Rais hebu jitahidi muwe mnamuandikia Hotuba zake zote na muwe mnamlazimisha awe anazisoma hizo hizo na siyo awe ‘ anabwatuka ‘ tu kutoka Kichwani kwani huwa anakuwa anatoa ‘ Maboko / Makosa ‘ mengi ambayo huwa yanamfanya aonekane ‘ Kituko ‘ na hata ‘ Kudharaulika ‘ na wenye Akili ambao kwa bahati mbaya ni wengi nchini Tanzania pengine kuliko hata hao wanaomzunguka 24/7 hapo Ikulu / Serikalini.

Halafu siyo lazima Ziara zote awe anazifanya Yeye tu anaweza zingine akawaachia Wasaidizi wake Kiuongozi akina Mama Samia na Mwalimu Majaliwa ili apunguze mzigo mkubwa wa Kimajukumu unaomkabili. Na si lazima awe anafululiza Kufanya Ziara zake katika Mikoa mingi ndani ya muda mfupi kwani kwa Mtazamo wangu nahisi kuwa Ratiba zake nyingi pia huchangia ‘ Kumchosha ‘ na hatimaye hata katika Hotuba zake nyingi huwa ‘ anaharibu ‘ kwa kutoa hayo ‘ Maboko ‘ yake huku pia akiwa anayarudia maneno yale yale tu hali ambayo huwa ‘ inawaboa ‘ pia wanaomsikiliza.

Mlio nae karibu lifanyieni Kazi hili tafadhalini kwani Rais Dkt. Magufuli binafsi namkubali kupita Maelezo hasa kwa ‘ Utendaji ‘ wake uliojaa ‘ Uthubutu ‘ mwingi na pia ni Kiongozi ambaye anaonyesha ana ‘ Uchungu ‘ sana na Maendeleo ya Watanzania na Tanzania kama nchi ila nahisi ama Wasaidizi wake wanamuogopa au Yeye mwenyewe nae ni ‘ Mbishi ‘ hali inayopelekea hao Wasaidizi wake ‘ Kumpigisha Shoti ‘ kwa Makusudi ili akosee na aonekane hana jipya na hafai.

Kwa leo langu ni hili tu Kwenu.
Wewe jamaa ni noma....huogopi kutekwa???!!!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom