Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Hakuna media zenye nguvu hapa nchini kuandika haya.Media nyingi zina milikiwa na wana ccm.Media 4 tu zina uwezo a kuandika kitu bila woga wakiongozwa na Mwanahalisi.Hvi nyie waandishi wa habari hamuwezi kusimama kwa miguu yenu hadi muegemee kwa wamiliki?mmiliki hajasoma fani hiyo kwanini akubabaishe?kama ni kazi utapata nyingine si lazima ufie hapo.Tatizo kubwa linalowasumbu wana media ni kuganga njaa.Tazama media kama New habari,utabaini kuwa njaa kali.Nimeapa kutonunua magzeti kam hayo.Simameni kwa miguu yenu jamani.CDM itapata support toka kwetu na mitaani tunaendelea kuonyesha udhaifu wa ukandamizaji wa ccm kwa wananchi.Binafsi naamini ahadi walizoahidi hawana uwezo wa kutekeleza.JK HATAJENGA UWANJA WOWOTE WA NDEGE WA KISASA HUKO MISENYI KAMA ALIVYOSEMA.TUKAE TUONE.ATUAMBIE UWANJA WA SONGWE MBEYA UMEISHA?